Ridhiwani Kikwete: Marufuku ruhusa za kwenda Dodoma.

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaagiza Maafisa Utumishi wa Halmashauri zote nchini kuacha tabia ya kukaa ofisini badala yake watembelee ofisi za watumishi zilizopo katika Kata na Vijiji ili kutatua changamoto za watumishi walioko huko.

Aidha, Kikwete amepiga marufuku tabia ya baadhi ya maafisa utumishiukutoa vibali vya kusafiri kwa watumishi kwenda Jijini Dodoma katika Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ajili ya kufuatilia masuala yao binafsi ya kiutumishi ilihali kazi hiyo ni ya Maafisa Utumishi hao.

Amesema watumishi hao hufika Dodoma kwa ajili ya kufuatilia kupandishwa madaraja, kubadilishiwa miundo na kada, kudai malimbikizo ya mshahara, kuwa vitendo hivyo vinawanyima fursa wananchi kuhudumiwa na watumishi hao waliolazimika kusafiri.

FB_IMG_1694677771291.jpg
 
Ila wajitahidi wasaidie watumishi wa ualimu wengi hajapata stahiki zao kama substance likizo na kupadishwa madalaja aliyakua mishahara yao ni miduchu.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaagiza Maafisa Utumishi wa Halmashauri zote nchini kuacha tabia ya kukaa ofisini badala yake watembelee ofisi za watumishi zilizopo katika Kata na Vijiji ili kutatua changamoto za watumishi walioko huko.

Aidha, Kikwete amepiga marufuku tabia ya baadhi ya maafisa utumishiukutoa vibali vya kusafiri kwa watumishi kwenda Jijini Dodoma katika Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ajili ya kufuatilia masuala yao binafsi ya kiutumishi ilihali kazi hiyo ni ya Maafisa Utumishi hao.

Amesema watumishi hao hufika Dodoma kwa ajili ya kufuatilia kupandishwa madaraja, kubadilishiwa miundo na kada, kudai malimbikizo ya mshahara, kuwa vitendo hivyo vinawanyima fursa wananchi kuhudumiwa na watumishi hao waliolazimika kusafiri.

View attachment 2748742
Muuza ngada alieponea chupuchupu kunyongwa kwa kina ku-chen
 
Tafsiri yake ni kosa mtumishi kufuatilia mafao na malimbikizo ya mishahara vilivyozuiliwa kusikojulikana nasema hamtaki tena kukutana na watumishi mmewaona kero uku mnazidi kuwaumiza, kwa mbali unaona kuna logic lakini ni hatari kuliko oleeee kwa watumishi mnaohusika kuiba kura za watetezi wenu kwa kupewa vipande vya fedha msivyoweza kutumia kwa miaka mitano.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaagiza Maafisa Utumishi wa Halmashauri zote nchini kuacha tabia ya kukaa ofisini badala yake watembelee ofisi za watumishi zilizopo katika Kata na Vijiji ili kutatua changamoto za watumishi walioko huko.

Aidha, Kikwete amepiga marufuku tabia ya baadhi ya maafisa utumishiukutoa vibali vya kusafiri kwa watumishi kwenda Jijini Dodoma katika Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ajili ya kufuatilia masuala yao binafsi ya kiutumishi ilihali kazi hiyo ni ya Maafisa Utumishi hao.

Amesema watumishi hao hufika Dodoma kwa ajili ya kufuatilia kupandishwa madaraja, kubadilishiwa miundo na kada, kudai malimbikizo ya mshahara, kuwa vitendo hivyo vinawanyima fursa wananchi kuhudumiwa na watumishi hao waliolazimika kusafiri.

View attachment 2748742
Hayo matatizo ya kiutumishi yanatengenezwa na wao hivyo hawawezi kuyatatua.
 
Back
Top Bottom