Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 305
- 519
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete amewaonya watumishi na waratibu wa mradi wa kuondoa umaskini (TASAF) kuhusu matumizi mabaya ya pesa za mradi na kutofuata maelekezo yaliyotolewa kusimamia mradi huo; alipokuwa akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Lulindi Ndg. Ali Mchungahela alipotaka kufahamu hatma ya wananchi wake katika mradi huu.
alikuwa akijibu swali la Mheshimiwa Issa Ally mchungahela Mbunge wa Lulindi aliyetaka kujua Serikali inafanya nini kuhakikisha Miradi ya TASAF inakuwa yenye tija kwa Wanufaika.
alikuwa akijibu swali la Mheshimiwa Issa Ally mchungahela Mbunge wa Lulindi aliyetaka kujua Serikali inafanya nini kuhakikisha Miradi ya TASAF inakuwa yenye tija kwa Wanufaika.