Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Wachukue baba yakeGesi si walishachukua?
au wanataka tuwape SGR na bwawa la Nyerere?
Wachukue baba yakeGesi si walishachukua?
au wanataka tuwape SGR na bwawa la Nyerere?
Anayeongoza nchi kinyume cha Katiba atakuwa anahusika na kifo Cha MagufuliChina teyari ishajua nani anaeongoza nchi wanapita mulemule
Kuna wazee watu wazima kabisa huwa wanaamini kikwete na membe ni ndugu.Team Lowasa walimchafua sana Riz1 kipindi kile bila kumsahau Membe, eti Membe ni mdogo wake Kikwete.
Dah mkuu, Tz kuna siasa za majitaka.Kuna wazee watu wazima kabisa huwa wanaamini kikwete na membe ni ndugu.
They wanna bring back msoga dynastyBila Haya eti "presidential material ".
Wachina ni hatari. Wanaweza kumkamata mtu kwenye internet hata asirudi kabisaHuo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa, we haya.
Nyie watanzania kwa kuamini umbeya hamjambo!Habari za mtaani ni kuwa mtoto wa kikwete alikamatwa na madawa ya kulevya china ,adhabu ni kifo ila kwakuwa ni mtoto wa rais basi tunapeane dili la ujenzi wa bandari ya bagamoyo yenye mikataba ya kinyonyaji .hizo ni habari za watanzania wengi mitaani ndo wanajua hivyo.
Kama Magufuli aliweza kutawala nchi hii,kwa vituko vyake,nani anaweza shindwa?Watanzania tumerogwa iv kweli lini tutajitambua??kweli mkuu hii inauma sana na usikute huyo jamaa aliyetype ni msomi kabisa,lakin mawazo ya ovyo zaidi, iv kweli riz moko presidential material ??, tuko serious kweli, nchi hii ili itobee labda kizazi hiki kipite, kama bado kunawatu wapo na wanamawazo ya ovyo kiasi hiki, kweli hii ni hatari
Wewe ndio kilaza na zwazwa uliyekuwa unafaidika na utawala wa kishenzi wa awamu iliyopita. Utawala gani unaweza kuwa na viongozi aina ya Sabaya na makonda?Nchi hii hawa wajinga wachache kama wewe hawafai kabisa na mazwazwa kabisa, iv kweli kijana mwenye akili zako timamu riz moko ni presidential material???, unafikiria au unawaza kweli au circuit yako kwenye ubongo ya matukio ya riz moko imechomoka???, mawazo uwazayo hata chizi awez kuwaza ujinga Kama wako
Hawachukua chochote acheni kuwasingizia Wachina, lakini kama ni suala la ukandrasi wa ujenzi Wachina hawakwepeki kwa taarifa yako Wachina ndio wajenzi wakuu wa bwawa la Nyerere ingawa hilo halisemwi wazi wazi.Gesi si walishachukua?
au wanataka tuwape SGR na bwawa la Nyerere?
Let's wait and see!Its all coming back!
Kwanini hilo, halisemwi wazi wazi? Wewe umelipata wapi?Hawachukua chochote acheni kuwasingizia Wachina, lakini kama ni suala la ukandrasi wa ujenzi Wachina hawakwepeki kwa taarifa yako Wachina ndio wajenzi wakuu wa bwawa la Nyerere ingawa hilo halisemwi wazi wazi.
Haya sasa tuje kwenye mradi wa ujenzi wa SGR Wachina wamekwisha pewa phase ya ujenzi ya kutoka Mwanza kwenda Isaka - sina shaka watapewa phase ya kutoka Tabora mpaka Makutopora, binafsi napendekeza Tabora - Kigoma wapewe hao hao Wachina - tuwe wakweli hapa, Wachina ndio wenye uwezo mkubwa wa kujenga phase zote kwa mpigo na kuukamilisha mradi on TIME.
Kwanini hilo, halisemwi wazi wazi? Wewe umelipata wapi?
Kwani wawe Wachina na si watu wengine?
Search ME.Kwanini hilo, halisemwi wazi wazi? Wewe umelipata wapi?
Kwani wawe Wachina na si watu wengine?
Hii ni embarassment kubwa sana kwa nchi, yaani mtu mmoja anaiweka nchi rehani kisa kukwepa hukumu aliyopewa kihalali......ni watu wangapi wamehukumiwa kunyongwa na wakanyongwa! kwa nini kuwe na double standard.....Habari za mtaani ni kuwa mtoto wa kikwete alikamatwa na madawa ya kulevya china ,adhabu ni kifo ila kwakuwa ni mtoto wa rais basi tunapeane dili la ujenzi wa bandari ya bagamoyo yenye mikataba ya kinyonyaji .hizo ni habari za watanzania wengi mitaani ndo wanajua hivyo.
Ungetoa kwa Mwaliko tukaone"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Kati ya watu wa ovyo kutokea toka dunia iumbwe aisee we ni namna moja, alaf usikute ni msomi mzuri lakini ujinga unaongea unalevel ya PhD ya uzwazwa, kweli elimu yetu inapaswa itafakaliwe upya kama mtu anaishia kufikiria ndani ya boksi, hii ni hatari katika taifa hiliWewe ndio kilaza na zwazwa uliyekuwa unafaidika na utawala wa kishenzi wa awamu iliyopita. Utawala gani unaweza kuwa na viongozi aina ya Sabaya na makonda?
Anapeleka madawa ya kulevya na kuplani MISHENI TENA ZA BIASHARA ULINGONI"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
We msukule wa riz moko,pambana kumtetea lakini jua hamna hatimiliki ya hii nchiKama Magufuli aliweza kutawala nchi hii,kwa vituko vyake,nani anaweza shindwa?