cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 84,946
- 136,409
Ujana kwenye chama chetu hauna mwisho.
Mbona Wassira ni Kamanda wa Vijana kwenye jimbo lake!
Ujana kwenye chama chetu hauna mwisho.
Mbona Wassira ni Kamanda wa Vijana kwenye jimbo lake!
Msimu wa twiga kupanda ndege kuelekea Quatar unanukia... Kumbe ndio maana tembo wameanza kuyakimbia makazi yao na kuja mjini!
Huwa hawaaminiki hawa"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Huenda hawajaridhikaKwani hakumalizana na wachina?si tulisikia mzee alimalizana nao.
Sidhani kama uko sawa, labda bandariGesi si walishachukua?
au wanataka tuwape SGR na bwawa la Nyerere?
usicheke mkuu mambo mengine yanaumiza kinyama watu wanasahau tulipo toka hapahapa JF tukifukua makaburi kuazia 2009-2014 kwa upande wa siasa unaweza sema hatukua TZ tulikuwa nchi ya ajabu sana
Ili andiko litimie...Bagamoyo lazima tupate uwekezaji"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Hopless kabisa. Hivi jamani Urais mnauelewaje. To think about Tanzania- Nchi yenye ukubwa wa zaidi ya eneo la mraba KM 10,000, watu zaidi ya milioni 60. Akili kama ya JPM ndio inahitajika kwa kweli!Presidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
You have said it all! Kwa kweli tulianza kunyooka Mungu wangu!usicheke mkuu mambo mengine yanaumiza kinyama watu wanasahau tulipo toka hapahapa JF tukifukua makaburi kuazia 2009-2014 kwa upande wa siasa unaweza sema hatukua TZ tulikuwa nchi ya ajabu sana
Magu namapungufu yake ya kuwaweka kwenye ungozi bashite type alijitahidi sana kuinyosha inchi, mimi nilikuwa natamani atuongoze hadi 2030, hawa wakina moko, january n.k walikuwa wanafanya vitendo yya ajabu kutumia kodi za wananchi na maliasili, ufisadi ulikithili hadi sio vzr, afu mtu moja sijui katoka wapi (gwaji voice) kwa lugha nyepesi eti moko ni president material kweli
Usinitajie watu wa ajabu ajabu. Dikteta uchwaraHopless kabisa. Hivi jamani Urais mnauelewaje. To think about Tanzania- Nchi yenye ukubwa wa zaidi ya eneo la mraba KM 10,000, watu zaidi ya milioni 60. Akili kama ya JPM ndio inahitajika kwa kweli!
Ngunichile yeyila ipali?Yeye mwenyewe kasema ni kwa njia ya mtandao
Hapana,huyu anaandalia na mshua aje kua mtu mkubwa,anasahau kujikuta yupo kaa Huseni Mwinyi ni hekima kubwa sana alikua nayo Huseni...huyu ujana ni mwingi tuHuo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa, we haya.
Taxi hilo la ukubwa asahau na huyo mshua wake anaweza mipango ya sirini tu,wao watajirike tu muda unaruhusu.Hapana,huyu anaandalia na mshua aje kua mtu mkubwa,anasahau kujikuta yupo kaa Huseni Mwinyi ni hekima kubwa sana alikua nayo Huseni...huyu ujana ni mwingi tu
Kawagawia wachina sehemu ya kuegesha mitumbwi yao pale BgyKwani hakumalizana na wachina?si tulisikia mzee alimalizana nao.
Au na ile bandari ya Bagamoyo iliyopingwa na Mwendazake ndiyo yalikuwa malipo?maana mradi unarudi kwa Kasi ya radi.Kawagawia wachina sehemu ya kuegesha mitumbwi yao pale Bgy