Nishafika huko na ushuhuda wangu huu hapa. lol.
Mkuu unapoambiwa kuwa hii nchi ni tajiri usidharau.
Tembelea nchi uuone utajiri wake.
Hapa ni pembezoni mwa himaya ya makumbusho ya watemi wa Ukerewe. Eneo zima halina mlinzi yoyote.
Wako katika taifa lenye "rasilimali za kumwagiruru mpaka kusaza".