Ridhiwani akabidhi Ambulance Jimboni

Ridhiwani akabidhi Ambulance Jimboni

Mbona hutuambia kuwa TRA wamekataa bilion 5 alizotaka kulipa na yupo kwenye list ya 12? Mbona hutuambii alivyokataliwa kumuona rais alivyoenda Ikulu? Kashfa ya china? What a reliability!
 
Ambulence anazozitoa huwa hazidumu. Zinakuwa za kuchukulia ujiko kwenye media halafu baada ya miezi 3 hazionekani. Zilishakuwepo ambulence zaidi ya nne baada ya kufariki Bwana Mdogo. Moja ni Mazda, nyingine ni Mkonga nyingine ya kichina sijui inaitwaje... Na zote hivi sasa hazipo.

Ukibahatisha ndani ya miezi mitatu hii ya kupigia picha ukawa na hitaji la kumpeleka mgonjwa tumbi utaambiwa changia wese laki 2, mara tusaidie kuazima tairi kwa mtu mradi mgonjwa wako afe tu

jama umepiga ile kindaki ndaki
 
HAMY-D katika ubora wake......tunashukuru mkuu kwa post yako, ila muulize Riz hii Ambulance kweli inalingana na hela alizotupiga katika miaka kumi ya uongozi wa baba yake?
bavicha huu wimbo wa riz sijui tajiri sijui nani kawafundisha,,masikini wanywa viroba wakishakariri kitu NI TABU...........ha ha ha ha,

riz hana hela kama vilaza wanavyomtangaza kwenye blogs
 
Hahaha na bado mtawakabidhi hadi wake zenu hapa kazi tuuu....

Na muisome namba maana.nadhan.wakti mwakata mauna na Hako kawimbo KA KUISOMA NAMBA mlikuwa mwahisi kuna mswalie mtume


viva lowasa km si wewe tusingekuwa na ambulance wala wabunge wanaokataa posho hihihiiii
 
tozo la uwakili my foot,anaweza kusimamia kesi huyo,hata ya wizi wa kuku hawezi.kwenda hukoooooooo
 
Idiot and full have eye. All human being are created not only Riz. God bless Idiots and the have not. Give Rain to all and sunshine to every creation.
 
Hivi ni haki Mbunge kutumia pesa yake kutoka mfukoni kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ? Vipi kuhusu uendelevu wa hiyo miradi inayoanzishwa bila maandalizi ya kuindeleza. Miye nathani kazi kubwa ya Mbunge kama mwakilishi wa wananchi ni kuisimamia Serikali itekeleze mipango ya maendeleo katika eneo lake. Kutumia pesa yake ni kutoa rushwa au kuanunua Ubunge kwa maana kwamba anawalipa baada ya kuwa wamemkopesha nafasi ya Ubunge.
 
Bichwa lako limejaa maharage, hakuna jimbo taabani kama chalinze, kwanza maji ni tatizo kubbbwaa, watu wanunua maji hadi 800 kwa ndoo, wew utakuwa wale wapambe nuksi wewe
 
Kati ya Riz na Lowassa nani anatakiwa awe jela?!? Ni lini Riz ameingia serikalini kusimamia fedha za umma? Je hilo fisadi lenu Lowassa...si limetuibia kwa miaka zaidi ya 30...zee lilafi kweli lile.

...mwenzio alifunga kamba za viatu akapewa ukuu wa wilaya, vipi wewe utasafisha matak. au?!
 
WanaJF,

Moja ya vijana ambao taifa hili halina budi kuwatazama kwa jicho la tatu ni Ridhiwani Kikwete. Hii ni kwa kuwa ni kijana ambae yupo kwenye fungu la vijana 'asset' wa hii nchi na sio 'liability'.

Katika hatua ya kutimiza ahadi zake kwa wananchi wake wa jimboni Chalinze, Ridhiwani akabidhi ambulance ambayo ameahidi wakati wa kampeni kwenye hospital ya Chalinze siku ya jana.

Ahadi hii imetekelezwa kufuatia makabidhiano ya kompyuta katika shule takribani tano ambazo nazo zinapatikana katika jimbo lake hilo la Chalinze.

Aidha, mbunge huyo kijana alipohojiwa juu ya uwezo wake wa kutekeleza ahadi zake kwa kasi alieleza ripota wetu kuwa, yeye hawezi kungoja pesa za mfuko wa jimbo ili kufanya maendeleo kwa wananchi wake badala yake atajitahidi kutumia hata vyanzo vyake vya ziada ikiwemo pesa za tozo za uwakili na mapato yatokanayo na kodi ya nyumba yake ili kusukuma maendeleo jimboni kwake Chalinze.

Ndugu wanaJF, hii ndio aina ya vijana ambao hili taifa linahitaji. Sio wale wanywa viroba watembea na majeneza kutwa kucha huku wamama wajawazito wanakosa huduma bora za afya na mbunge amekazania tu, "eti mbunge sio kazi yangu kuboresha huduma ya afya, hiyo ni kazi ya serikali". Mawazo hayo yamepitwa na wakati na ndio yamefanya wakina Kafulila, Wenje, Mkosamali na yule Kiwia kupigwa chini vibaya na wananchi wao kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Tumuunge mkono Ridhiwani.

View attachment 308505

Haya maswala ya Ridhiwani yametoka wapi huku? Hapa tunaongelea maswala ya kitaifa hususan Raisi wetu kipenzi Pombe.

Ridhiwani peleka msoga au kwenye magazeti ya udaku.
 
Hivi sembe nalo ni tusi,mods vilaza kweli
 
Kachelewa sana. Waulize akina Dogo Janja wa Arumerumeru japo hajihusishi na maugali lakini alitoa mapema siku nyingi tu
bado tunakwenda hata kwa wasambaza maugali - sijui kama ataponamo.
 
Back
Top Bottom