mleta uzi ni kipele hana lolote
Ambulence anazozitoa huwa hazidumu. Zinakuwa za kuchukulia ujiko kwenye media halafu baada ya miezi 3 hazionekani. Zilishakuwepo ambulence zaidi ya nne baada ya kufariki Bwana Mdogo. Moja ni Mazda, nyingine ni Mkonga nyingine ya kichina sijui inaitwaje... Na zote hivi sasa hazipo.
Ukibahatisha ndani ya miezi mitatu hii ya kupigia picha ukawa na hitaji la kumpeleka mgonjwa tumbi utaambiwa changia wese laki 2, mara tusaidie kuazima tairi kwa mtu mradi mgonjwa wako afe tu
Labda kuna jumuiya ya huko canada ilitoa msaada kwa vijana wa tanzania ndo kapeleka msoga!Mbona ina Bendera ya Canada?
Watu wanavichaa kwelikweli,riz ni asset??-???€?-???€?-???€?-???€ utakuwa na laana!!! Huyo muuza unga ambaye ametumia madaraka ya baba yake kufanya chochote anachotaka huku akijipatia utajiri wa kutisha kwa muda mfupi ni asset? Me ni mwanaccm ila nataman riz anyongwe hata leo
Mali zetu ....naona anarejesha kidogo..huyu alitakiwa awe jela.......ula kwasababu anawapa posho imabid mumsigie na kumlamba viatu
Kati ya Riz na Lowassa nani anatakiwa awe jela?!? Ni lini Riz ameingia serikalini kusimamia fedha za umma? Je hilo fisadi lenu Lowassa...si limetuibia kwa miaka zaidi ya 30...zee lilafi kweli lile.