Ambulence anazozitoa huwa hazidumu. Zinakuwa za kuchukulia ujiko kwenye media halafu baada ya miezi 3 hazionekani. Zilishakuwepo ambulence zaidi ya nne baada ya kufariki Bwana Mdogo. Moja ni Mazda, nyingine ni Mkonga nyingine ya kichina sijui inaitwaje... Na zote hivi sasahazipo.
Ukibahatisha ndani ya miezi mitatu hii ya kupigia picha ukawa na hitaji la kumpeleka mgonjwa tumbi utaambiwa changia wese laki 2,
mara tusaidie kuazima tairi kwa mtu mradi mgonjwa wako afe tu
kwa magumashi aliyopiga huyu dogo kwa mgongo wa baba yake akiwa ikulu anatakiwa ambulance kila wilaya Tanzania nzima .. ya jimboni kwake ni suna ndogo sana
Itakuwa ni ya mtumba.Mbona ina Bendera ya Canada?