Ukishakuwa mtoto wa rais kuna tabia unazotakiwa kuwa nazo kwa sababu baba yako ni rais wa nchi, ndiyo maana hata mke wa rais anaitwa first lady na kuna tabia hatakiwi kuwa nazo au at least kuzionyesha wazi wazi.Hivi Ridhwani angekuwa mwanasiasa wa CHADEMA tungesema haya tunayoyasema juu yake? Je Ridhwani hana haki kisheria kuingia kwenye siasa kwa sababu tu baba yake ni mkuu wa nchi?
Huyu jamaa sio fisadi mtoto. Alipo maliza Chuo (Mlimani) 2004 au 2005 mwaka 2006 alitender kununu nyumba iliyopo Seaview kwa thamani ya 2 billion. Sasa sijui kwa mda mfupi alipata wapi pesa zote hizo. inaonekana baba yake anaganya pesa zake kwa wanae ili yeye aonekane ni fisadi kiasi. Kwa ujumla haka kabwana mdogo kalikua hakana uwezo saana pale chuo. Mzee alikapeleka UK kuchukua Master kamasijakosea ni ya Sheria. Je wenzangu mmewahi sikia kanauwezo wa kusimama Mahakamani?. Au ndio kanaweza fanya ya Babayake alipoulizwa swali unaonaje hali ya nchi-kimaendeleo yeye akasema nilipita kagera na msoma nikakuta nvua zinanyesha sana.
What I know from this dogo ni kwamba anaandaliwa kuwa president wa miaka ijayo, thus so!
Inawezekana mkuu, .... kwa sababu hii nchi watu wote tumegeuzwa vilaza kwa hiyo siyo ajabu tukaongozwa na vilaza!
Huyu jamaa sio fisadi mtoto. Alipo maliza Chuo (Mlimani) 2004 au 2005 mwaka 2006 alitender kununu nyumba iliyopo Seaview kwa thamani ya 2 billion. Sasa sijui kwa mda mfupi alipata wapi pesa zote hizo. inaonekana baba yake anaganya pesa zake kwa wanae ili yeye aonekane ni fisadi kiasi. Kwa ujumla haka kabwana mdogo kalikua hakana uwezo saana pale chuo. Mzee alikapeleka UK kuchukua Master kamasijakosea ni ya Sheria. Je wenzangu mmewahi sikia kanauwezo wa kusimama Mahakamani?. Au ndio kanaweza fanya ya Babayake alipoulizwa swali unaonaje hali ya nchi-kimaendeleo yeye akasema nilipita kagera na msoma nikakuta nvua zinanyesha sana.
Kweli watu wote wa vijini nivilaza. Ndio maana sisi wa mijini tumekataa kutwa vilaza kwa kuchagua CHADEMA.
Inawezekana mkuu, .... kwa sababu hii nchi watu wote tumegeuzwa vilaza kwa hiyo siyo ajabu tukaongozwa na vilaza!
Wanajamvi bado swali kujibiwa, huyu kijana kilaza au? this skeleton needs some meat
You are totally wrong mkuu...Watu wa vijini ni imara sana katika misimamo yao kuliko ma-opportunist wa mjini. Hebu angalia majimbo ambayo consistently yamechagua wapinzani yako wapi? Ukilinganisha na nchi kama Kenya, Tz bado watu wa mjini wanaboa sana ingawa mwaka huu wamejitahidi kidogo!