Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,254
Riz ni baba yake %95. Labda mazingira yachangie kupunguza tena hizo %
Naliwahi kusikia habari zake kuwa ni :doh:dizaini ya spana mkononi.. Labda ndiyo maana amebebwa na IMMA advocates ingawa sijui kama aliwahi kusimama mbele ya pilato akisimamia kesi!
Lazima kwa mtazamo wangu uliingia humu UKIJUA KUWA WANAMSIFIA JAMAA YAKO (inaonyesha ulikuwa interested saaana ndo ukafungua hii post)!!!acheni wivu wa kiuasherati tafadhali,leteni post zenye maana apa plzzz
Mkuu mimi nazunguka sana Mikoani Hasa Wilayani na hasa vijijini-Huko ni ccm tu. Nakuambia mkuu ingawa mijini ndio wakua wajanja ila ni kwa kasi kubwa kuliko vijijini ambako mafisadi huwa wanaenda na kuwatishia watawakatia mborea za ruzuku, vita na mengineyo ambayo ma bushman huamini nadhani na utandawazi na elimu vinachangia.
Wabongo tumezoea spoonfeeding! Yote yaliyoelezwa hujaona detail yoyote! Kumbe na wewe akili yako kama Riz 1 tu.
What I know from this dogo ni kwamba anaandaliwa kuwa president wa miaka ijayo, thus so!
What I know from this dogo ni kwamba anaandaliwa kuwa president wa miaka ijayo, thus so!