kana kansungu
New Member
- Nov 5, 2010
- 2
- 0
Nafikiri wanataka kurudisha utawala wa kifalme kama alivyo king Mswati wa Swazy,au akina malkia Elizabeth, ambapo ufalme unarithiwa kifamilia. Lakini ndugu zangu,Mungu yupo anaona haya. Kwa wana dini mnakumbuka wana wa Israeli walipokuwa nchi ya Misri? walilia sana na Mungu alisikia kilio chao na kumtoa Musa toka kuwa mchungaji wa kondoo hadi kuwa kiongozi wa kuwatoa wana wa Israeli toka kwenye mikono ya Pharao.
Ukombozi uipo niani kinachotakiwa nikumwangalia Mungu,anajua jinsi ya kututoa hapa tulipo. tukisema tujipange kuandamana itakuwa kama vita vya majimaji 1905-1906,hawa jamaa wanavifaa vya moto,na kamanda Kova amekwisha toa onyo kwa watakao andamana sisi tunanini? itabii tulie majimaji!!
Ukombozi uipo niani kinachotakiwa nikumwangalia Mungu,anajua jinsi ya kututoa hapa tulipo. tukisema tujipange kuandamana itakuwa kama vita vya majimaji 1905-1906,hawa jamaa wanavifaa vya moto,na kamanda Kova amekwisha toa onyo kwa watakao andamana sisi tunanini? itabii tulie majimaji!!