Rey Mysterio......!!!!

Rey Mysterio......!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,129
Kwa wakuu wapenzi wa wrestling sina shaka huyu kijana mzee wa 619 ni mmoja ya wanamieleka wanaokuvutia. Mbabe huyu ameweza kuteka nyoyo za mashabiki wengi wa mieleka esp. Kwa style yake ya kuvaa mask usoni na kuficha sura yake. But leo, hebu tumuone bila mask bwana mysterio:
uploadfromtaptalk1463088725258.jpg
uploadfromtaptalk1463088733284.jpg
uploadfromtaptalk1463088739998.jpg
uploadfromtaptalk1463088747439.png
uploadfromtaptalk1463088763339.jpg
 
Mbona mshikaji baby faced sana.

Alafu ana mambo ya jinsia nyngne, au anatafunika?
Kwwli ni babyface inasemekana ni moja ya reasons ilimfanya awe anavaa mask. He is straight na ana mke na watoto nafkiri kwa sasa anaishi Cali
 
the mysterious Rey Mysterio mzee wa 619,jamaa mwepesi balaa kama kina James na Matt Hardy.

sema ndo vile unaweza kuta ni choko,mbona maiko dudukofi sijui maiko skofildi ni choko na ana action za hatarii??!!

wenzetu hawa hawaeleweki,unaweza kuta hata undertaker nae choko...hahahahaha mwee ikisu hikiii Po kya ngelo fijho
 
Siku hizi hakuna wakali WWE kabisa ukiacha Akina Randy, Cena, Lesnar
 
Kumbe jamaa mlain hiv ndo mana anaficha sura
 
Kwwli ni babyface inasemekana ni moja ya reasons ilimfanya awe anavaa mask. He is straight na ana mke na watoto nafkiri kwa sasa anaishi Cali
Straight huwa inamaana ana mambo ya gay?au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom