PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,262
- 22,143
Pronounced (mehico)
Mkuu hiyo Ni lugha yangu ya tatu baada ya Kiswa-Nglish. Sometimes uwa nawaza kwa hiyo lugha pia.
Pronounced (mehico)
He should not life too serious. Mbona wengine tumeelewa kuwa this is just for fun.meku7 kuna wakati just take it easy...vingine huwa ni kwa ajili tu ya kuchagiza mada usichukulie serious na my apology kwa kukukwaza
Hapo hata mimi nilikuwa sijui. Asante kwa maelekezo hayastraight anafanya mapenz4 jinsia tofauti, ukisikia top ni basha na bottom ni yule anayeliwa
Tisha sana mkuuMkuu hiyo Ni lugha yangu ya tatu baada ya Kiswa-Nglish. Sometimes uwa nawaza kwa hiyo lugha pia.
Hapo roman reigns lazima akae. Ila kuna wakuda wakina koffi kingston wazee wa Booty-O wanazingua kishenzyaah noma zaid watakutana extreme rules ful silaha yan noma
Hapo roman reigns lazima akae. Ila kuna wakuda wakina koffi kingston wazee wa Booty-O wanazingua kishenz
wale changamsha genge wale me nawakubali sana yan wale mwanzo watu waliwadis ila sasa hv wanakubalikaHahaha sawa mkalimanistraight anafanya mapenz4 jinsia tofauti, ukisikia top ni basha na bottom ni yule anayeliwa
Ukitaka kujuwa kwamba Roman ni mkali muulize Lesnar kilicho mpata, Lesnar ni size za kina undertaker lakini Lesnar aliomba poo kwa roman.... Ana style za hatari akikupa Spear na supermen punchhahah ila ile mashine haiwez roman ni jiwe aseee
lazima ukaeHUO msupa man punch me uwa nauita nondo kwereUkitaka kujuwa kwamba Roman ni mkali muulize Lesnar kilicho mpata, Lesnar ni size za kina undertaker lakini Lesnar aliomba poo kwa roman.... Ana style za hatari akikupa Spear na supermen punchlazima ukae
Kuna mbabe mmoja hiv yule amejazia kama mrussia nimesahau jina anachapa kinyama![]()
![]()
wale changamsha genge wale me nawakubali sana yan wale mwanzo watu waliwadis ila sasa hv wanakubalika
kanunu mwaisa...mbonile king Julian pa Avatar hapo,heheh
the mysterious Rey Mysterio mzee wa 619,jamaa mwepesi balaa kama kina James na Matt Hardy.
sema ndo vile unaweza kuta ni choko,mbona maiko dudukofi sijui maiko skofildi ni choko na ana action za hatarii??!!
wenzetu hawa hawaeleweki,unaweza kuta hata undertaker nae choko...hahahahaha mwee ikisu hikiii Po kya ngelo fijho
undertaker
RUSEVKuna mbabe mmoja hiv yule amejazia kama mrussia nimesahau jina anachapa kinyama
Hahaha, mkuu mende nini?
sio Sheamus? kama zeru zeru hiviKuna mbabe mmoja hiv yule amejazia kama mrussia nimesahau jina anachapa kinyama
Sheamus nampata, jamaa flan mbabe sana kajazia kama Goldbergsio Sheamus? kama zeru zeru hivi