adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,699
Mshana wantisha weye navunja urafiki ssMrembo hadi anatamanisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mshana wantisha weye navunja urafiki ssMrembo hadi anatamanisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Alishawahi kuua ulingoni kwa mateke yake ya kuzunguka kwenye kambaIla huwa ni wrestler wa ukweli naipenda kazi yake
the mysterious Rey Mysterio mzee wa 619,jamaa mwepesi balaa kama kina James na Matt Hardy.
sema ndo vile unaweza kuta ni choko,mbona maiko dudukofi sijui maiko skofildi ni choko na ana action za hatarii??!!
wenzetu hawa hawaeleweki,unaweza kuta hata undertaker nae choko...hahahahaha mwee ikisu hikiii Po kya ngelo fijho
Ena malafyale, ujhobhilethe mysterious Rey Mysterio mzee wa 619,jamaa mwepesi balaa kama kina James na Matt Hardy.
sema ndo vile unaweza kuta ni choko,mbona maiko dudukofi sijui maiko skofildi ni choko na ana action za hatarii??!!
wenzetu hawa hawaeleweki,unaweza kuta hata undertaker nae choko...hahahahaha mwee ikisu hikiii Po kya ngelo fijho
!
!
Wa kukaja.... Mgonile
Siku hizi hakuna wakali WWE kabisa ukiacha Akina Randy, Cena, Lesnar
Kwwli ni babyface inasemekana ni moja ya reasons ilimfanya awe anavaa mask. He is straight na ana mke na watoto nafkiri kwa sasa anaishi Cali
Si amini kama maneno hayo umetamka Mshana jr... mimi nilihisi kuwa wewe n mtu mzima/baba jinsi yako ni ya Kiume... ni miongoni mwa watu ninao waheshimu sanaa humu Ndani.. sijui kwa nini ume type maneno hayo.Mrembo hadi anatamanisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
meku7 kuna wakati just take it easy...vingine huwa ni kwa ajili tu ya kuchagiza mada usichukulie serious na my apology kwa kukukwazaSi amini kama maneno hayo umetamka Mshana jr... mimi nilihisi kuwa wewe n mtu mzima/baba jinsi yako ni ya Kiume... ni miongoni mwa watu ninao waheshimu sanaa humu Ndani.. sijui kwa nini ume type maneno hayo.
sijui kama si bwabwa huyu jamaaPicha ya mwisho kama anatoa uhalisia wake wa kupenda vitu vya kikekike
straight anafanya mapenz4 jinsia tofauti, ukisikia top ni basha na bottom ni yule anayeliwaMkuu umeweka hilo neno ukimaanisha nini kwenye sentensi yako....
Huangaali labda ndio ana mkanda wa USA CHAMPIONSHIP aliuchukua kutoka kwa Alberto DelrioSiku hizi yuko wapi huyu mbona muda hajaonekana ktk show za wwe
aliikacha wwe hii now anakipiga kwao mexico uko na aliua mtu uko japo ilikua bahat mbayaSiku hizi yuko wapi huyu mbona muda hajaonekana ktk show za wwe
Roman REIGNS unamjua vizuri.. Supermen punchiiiiii..Siku hizi hakuna wakali WWE kabisa ukiacha Akina Randy, Cena, Lesnar
hahaha mkuu unacheki kweli mieleka au ni mambo ya history tu za watu wa kale ....kozi mtu kama roman .,aj style,dean ambrose na wengne wengSiku hizi hakuna wakali WWE kabisa ukiacha Akina Randy, Cena, Lesnar
HAHA mwambie aseee ule mwamba hatariiiii ....one vs all it doesnt matterWewe kuna mwamba hatari ni roman reigin