Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Ha ha ha kuna vijana walikuja humu kwa kazi maalumu kwa ajili kuwasafisha IPTL na kuwapaka matope akina Kafulila sijui wako wapi akina mtotowambwa na wengineo njooni mseme hii ripoti si ya kweli na muendeleze zile sinema zenu za kwamba eti IPTL ya huyo Singasinga itaanza kuuza umeme Kenya......
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna ambae anaweza kunielewesha nitafurahi. Kwa tarifa zilizopo mkataba wa IPTL ulikuwa miaka 20, 1995-2015. Katika kipindi hiki mgogoro pamoja na wizi ndo vimetokea. Lakini kwa sasa tena IPTL imeongezewa miaka 20, yaani mpaka 2035. PAMOJA NA MATATIZO YOTE HAYA NANI ALIYEIONGEZEA IPTL MUDA -20 yrs more!!!!!!!!!!

Tanzania inapaswa kuongezwa kwenye yale maajabu 7 ya dunia
Kuna mambo ya hovyo sana
 
Wapi Le mutuz na Faiza kuja tetea sisi bana, CAG iko sema pesa vyote ya umma kati sisi natega mingo.

Manasheria kuu ya serikali Tanzania bure kabisa bora zee ya tezi teua tena Chenga kama zamani bana.
 
Halafu hela nyingi kama hii kweli inaweza kutoka BoT bila ya profesa wa kichina kujulishwa na kuidhinisha tena kimaandishi.

Kama kweli alikuwa hajui kilichokuwa kinaendelea, basi huyu hafai hata ukatibu kata!

Yule ndo mwizi namba moja
 
Mkuu, kuna kitu nyuma ya pazia ndo maana akina Tumbili wanashikia bango

kitu gani kitaje au nawe una mgao? maana najua utakimbilia makundi yenu ndani ya ccm wakati hili ni janga la kitaifa halijalishi chama simama imara tetea maslahi ya UMMA wa TANZANIA
 
wapi ripoti nzima? kwa nini kiletwe kipande tu?
 
Mkuu, kuna kitu nyuma ya pazia ndo maana akina Tumbili wanashikia bango

Wewe utakuwa Na mtindio WA ubongo waziri mkuu Pinda Ni mbunge WA kigoma ? ambaye alielezea kusikitishwa na kitendo cha wafadhili kusitisha fedha za misaada kwa madai kwamba walioiba fedha hizi Ni watu wachache Tu hivyo hakuna haja ya kuacha kutoa fedha za misaada. Hivi huwa mnajitambua hata mnapoongea mbele za watu wenye akili? Kwakweli mmeiaibisha hii nchi vya kutosha. Sasa baasi.
 
Wapi Le mutuz na Faiza kuja tetea sisi bana, CAG iko sema pesa vyote ya umma kati sisi natega mingo.

Manasheria kuu ya serikali Tanzania bure kabisa bora zee ya tezi teua tena Chenga kama zamani bana.

Hehehehhee kiti iko ya moto mpaka mwenyekiti hakai bana
 
Back
Top Bottom