Jesus....Akaunti ilikuwa na bilioni 306 ......good enough hizi zilikuwa ni fedha za umma.....mbaya zaidi Tanesco inaidai IPTL bilioni 321.......hakika nawaambia....hii ngoma italeta historia mpya nchi hii.........kama bado kuna Watanzania waliobaki na chembe za uzalendo lazima tusimama pamoja sasa kuliko wakati wowote......
Tuondoe tofauti zetu tuipiganie Tanzania... tusidanganywe kwa watu kujiuzuru... Tuhakikishe fedha zinarudi na iundwe mahakama maalum ya kuwahukumu wahalifu hawa in a very short period of time.
Hii ni hatari......
hapo hakuna kusema kupona, wote hao ni jela kuanzia yule professor wakichina mpaka mawaziri wakeHii taarifa muhimu sana hii....Pinda sijui kama atapona na viongozi wengi wa juu...!!
mhuuuu......!!!? mashaka makubwa .mkuu mjepo nilimweleza jana, yako wapi sasa aibu imemshika na anasoma uzi huu kama guest.
Huyo bwe.ge wakutiwa ndani pamoja na majambazi wenzake waliohusika, tatizo bado watanzania hawajitambui
Hakuna kitu kipya hapo ripoti imeshapikwa imeshapikwa kwa maelekezo mazito. Hii habari kutoka jikon lets wait
wakati mwingine nikifikilia tz natamani kulia machozi
Ziwekwe bilioni 306 halafu tanesco wadai bilion 321 kivipi wakati zilizokuwepo tangu mwanzo ni bilioni 306?
Duuh....hii kweli ni clue 1.
Wazungu huwa hawakurupuki asee. Mpaka wamechukua hatua nzito ya kusimamisha Budget support wameshafanya uchunguzi wao na wamejiridhisha uwepo wa ufisadi.
Ole wake sasa serikali wakijifanya kuingilia report hii na kuichakachua kama hawajaumbuka, watu wana facts zao siku nyiiingi.
Lakini ni aibu sana kwa Taifa hiki. Yaani mpaka mzungu ndo anakuja kuwa na uchungu na affairs za kwetu?. Sijui tumelaaniwa wapi hata hii nchi! Tanzania is tragedy country!
wakati mwingine nikifikilia tz natamani kulia machozi
Endeleeni kujidanganya ripoti wanayo wazungu sasa nyie tudanganyeni sisi nakwambia mpaka kieleweke lazima mrudishe hizi pesa lasivyo mnaiweka nchi kwenye matatizo makubwa mnayoyasikia yakitokea kwenye nchi za wwenzenu mtayasikia Tanzania.eti kisiswa cha Amani washenzi wakubwa.