Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Hivi kwann ktk hili tusishirikiane kwenda kwa wakurugenz IPTL? .....hapa tuifie nchi kabisa...

Watu hawana ajra, dawa, madawati, maji, umeme..tunalia jamaa wanatuona mafara, wapumbavu... Hawa wahindi na IPTL lazima waonje jiwe.
 
Unafikiri danadana inayopigwa lengo lake ni nini kama sio kuBMK hiyo ripoti.
 
Ziwekwe bilioni 306 halafu tanesco wadai bilion 321 kivipi wakati zilizokuwepo tangu mwanzo ni bilioni 306?

Ongeza riba ya pesa iliyolipwa escrow ambazo ni shilingi 14,360,297,000/= kisha utupe jawabu
 
Mkuu MANI itakuwa poa sana hili likiwezekana maana wahuni na mafisadi ndani ya hii Serikali dhalimu hawalali ili kuhakikisha ripoti hii inachakachuliwa au haiwasilishwi Bungeni ili ijadiliwe kwa kina.

Na yule muhindi mmoja wa wahusika wa wizi huu mkubwa aliyeanza kutoa rushwa nchini haonekani tena hadharani si ajabu kishatoroka nchini.


Hivi ripoti halisi haiwezi kupatikana tulinganishe na hio watakayoichakachua.
 
Last edited by a moderator:
Tuondoe tofauti zetu tuipiganie Tanzania... tusidanganywe kwa watu kujiuzuru... Tuhakikishe fedha zinarudi na iundwe mahakama maalum ya kuwahukumu wahalifu hawa in a very short period of time.

Hii ni hatari......

Katiba yetu hairuhusu kiongozi wa nchi kushitakiwa kwa hiyo hakuna uwezekano wa mtu yeyote kushitakiwa kwa wizi huu.
 
Asante mkuu kwa Taarifa, lazima serikali ivuliwe nguo kwa sababu imezoea ujinga kila siku na kila dakika yenyewe inawaza wizi tu wa pesa zetu.

Wenzetu Uganda wanatengeneza MAGARI kutuuzia sisi tunawaza kuiba na kuendeleza ujinga tu bila kuangalia maisha ya baadae ya TAIFA letu yatakuwaje.

Lazima Waziri Mkuu na wenzake wajiuzulu, nimechoka kusikia hizi habari za IPTL, RICHMOND, MEREMETA, EPA nk.
 
Wengi wataishia kulalamika mara umma ara CCM but kwa kuwa sisi ni wananchi wabinafsi hatutaunganika kuleta mabadiliko kwa vitendo!
 
Kwa nini wanaleta kila mara hii kinga ya kwamba hela siyo za umma - yaani hata EPA walisema siyo hela za umma. Haya, hata kama siyo za umma, basi ndiyo majizi machache wajichotee? Wizi wowote si wizi tu?
 
Namuomba mwenye copy ya ripoti kama anaogopa anitumie kwenye PM, mimi nitaiweka hadharani. Wazalendo bado tupo nchi hii. We cant let the country go to the dogs!

The country is longtime gone to the dogs brother and we the people we should take all the ----in' blame of being cowards and irresponsible to bring in the necessary changes.
 
Halafu hela nyingi kama hii kweli inaweza kutoka BoT bila ya profesa wa kichina kujulishwa na kuidhinisha tena kimaandishi.

Kama kweli alikuwa hajui kilichokuwa kinaendelea, basi huyu hafai hata ukatibu kata!
 
Kwanini kwa umoja wetu wananchi tusishinikize Serikali ivunjwe na wahusika watiwe kizimbani.
Ingekuwa China watu wangekuwa wameshapumulia kitanzi muda mrefu sana.
 
Kama kuna ambae anaweza kunielewesha nitafurahi. Kwa tarifa zilizopo mkataba wa IPTL ulikuwa miaka 20, 1995-2015. Katika kipindi hiki mgogoro pamoja na wizi ndo vimetokea. Lakini kwa sasa tena IPTL imeongezewa miaka 20, yaani mpaka 2035. PAMOJA NA MATATIZO YOTE HAYA NANI ALIYEIONGEZEA IPTL MUDA -20 yrs more!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom