DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 805
Kama ni kweli basi hili li nchi ni la kishenzi na kati ya chama(ccm)ntaichana hadharani.
Heheheheh hata kama anamla uroda hawez kumpa 1billion manina
Kwahiyo kumbe hela zote zilizokua escrow ni za serikali na iptl habakiwi hata na shs kumi?.
Sasa posho ya milion 3 kwa siku jaman mbona kubwa sana???
ndugu yangu kirahisrahisi tu mtu akupe a billion???
ndugu yangu kirahisrahisi tu mtu akupe a billion???
Bei ya umeme uniti 1= tsh.306.56/-
posho za ewura 1% = tsh. 3.07-
mchango REA 3% = tsh. 9.20/-
VAT 18% maVX = tsh. 55.18/-
tozo kila mwezi = tsh. 5,520/- (unalipa kila mwezi hata kama hujatumia)
JUmla LUKU Bei ya uniti 1 = tsh. 680/-
Kadirio la chini kabisa kwa nyumba ya familia ya watu watano walau wanahitaji uniti 1.5 kwa siku, gharama yake ni tsh.1020/- kwa siku.
Sababu ya gharama za uzalishaji umeme kuwa kubwa;
1.kila kukicha wakurugenzi wa TANESCO wanapiga dili, mfano Mhando.
2.kulipia tsh.5,520/- kila mwezi kwa ajili ya kukamilisha mikataba kama IPTL, Songas, RICHMOND, PAP, Dowans, Symbion
WANANCHI TUTAUTUA MZIGO HUU SIKU TUTAKAPOAMINI BILA CCM INAWEZEKANA, kama tutaendelea na CCM tutapigwa danadana na habari zisizo rasmi TANESCO wanaandaa DODOSO LA KUPANDISHA BEI UMEME. wakipandisha tu posho ya ewura, REA, VAT zote zitapanda kwa sababu upatikana kupitia bei itakayopandishwa na TANESCO. mfano bei ikipanda hadi kufikia 450/- mtumiaji wa umeme utalipia uniti moja kwa tsh. 927 tena hapo tsh.5,520/- ambayo unalipia kila mwezi ibaki kama ilivyo.
bila vurugu za ufisadi bei ya umeme ni tsh. 373/- kwa unit ka elfu kumi kako ungepata uniti 26.8
Kwahiyo kumbe hela zote zilizokua escrow ni za serikali na iptl habakiwi hata na shs kumi?.
Kuna jamaa anajaribu kubandika ati anaaambiwa no permission! tuwaombe mods watusaidie ktk hili kama kweli huyo anamaanisha.
Yaan tamaa zingine sijui zinatoka wp aisee
Kile kimaza tibaijuka kina ngo kama utitiri aiseee halaf bado kina mitamaa tu
Kinaniudhi
Kwahiyo alikua anafanya biashara ya sandakalawe?.Aipatie wp hyo sh kumi?
Plus kuna overchargea payment hapo
Mambo ya hovyo sana
Jesus....Akaunti ilikuwa na bilioni 306 ......good enough hizi zilikuwa ni fedha za umma.....mbaya zaidi Tanesco inaidai IPTL bilioni 321.......hakika nawaambia....hii ngoma italeta historia mpya nchi hii.........kama bado kuna Watanzania waliobaki na chembe za uzalendo lazima tusimama pamoja sasa kuliko wakati wowote......
Wanasema ile ardhi waliposimika mitambo ni mali ya umma kwahiyo kwakua tibaijuka ni waziri wa ardhi alipewa mgao ili asiwafukuze.hebu we tuambie tibaijuka yeye ana maamuzi gani ya kutoa fedha BOT mpaka ahongwe bilioni nzima?
hakuna kitu hama hicho, mifumo ya JF inajuaje kama unataka ku-upload ripoti ya IPTL? huo ni uongo tu, mtoa mada kabandika hicho kipande kwa sababu anataka ku-control mwelekeo wa mjadala, who knows labda ikija ripoti kamili hicho kipande kitamaanisha vitu vingine.
Kwahiyo kumbe hela zote zilizokua escrow ni za serikali na iptl habakiwi hata na shs kumi?.