MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 20,111
- 35,479
Kwahiyo madai yenu ni yapi nyie kina Kafulila? Chenji au fedha ya escrow yote? Kama ni chenji imetoka wapi wakati kabla ya IPTL haijaanza kupokea hizo capacity charge na malipo mengine kulikuwa na hukumu ya ICSID ya mwaka 2001 iliyoshusha Capacity charge na IPTL walikubaliana nao ndio uzalishaji ulipoanza 2002. Hakuna chenji na fedha ya escrow ni haki ya IPTL na tusubiri ripoti ya kihasibu ya CAG tuone itasema nini siyo haya mat@pishi yenu.
Kwahiyo kusingekuwa na mgogoro wa wawekezaji ( mechmar na VIP ) walioomba kufunguliwa kwa escrow account haya yote yasingekuwepo?
Huelewi.....CAG amesema ni fedha za umma ....... uwe mpole tu ..........