Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

hii ndio ccm
View attachment 202771

hawa hapa chini ndio washauri wa profesa tezi dume... Kwa hiyo tutarajie wanamshauri nini prof??
Nani kawafanya hawa washauri wapate hiyo nafasi??
Nani alaumiwe, sisi watz au prof tezi dume??
Nani aliyemuweka prof tezi dume?? Umejiandikisha?? Unapiga kura?? Unakitambulisho?? Unakuwa tayari kupanga foleni?? Umechukua hatua gani kwa mahari ulipo kuleta mabadiliko?? Eti unasema wewe si mwanasiasa so mambo ya siasa waachie wanasiasa, ndio maana nao wanasiasa wanafanya yao....

K 2.jpg
koba1.jpg
Kapuya.jpg

haya hapa chini ndio maisha harisi ya mtanzania
nadhani tutaaamka siku tukiambiwa tumeuzwa rasmi, na ili utoke kwako nyumbani utapaswa kulipa pesa, hapo huenda ndio tutaamka na kuwa na uchungu hasa, but kwa sasa na hili litapita tu....

View attachment 202763
View attachment 202764
View attachment 202765
View attachment 202766

View attachment 202767
 
Bei ya umeme uniti 1= tsh.306.56/-
posho za ewura 1% = tsh. 3.07-
mchango REA 3% = tsh. 9.20/-
VAT 18% maVX = tsh. 55.18/-
tozo kila mwezi = tsh. 5,520/- (unalipa kila mwezi hata kama hujatumia)
JUmla LUKU Bei ya uniti 1 = tsh. 680/-

Kadirio la chini kabisa kwa nyumba ya familia ya watu watano walau wanahitaji uniti 1.5 kwa siku, gharama yake ni tsh.1020/- kwa siku.

Sababu ya gharama za uzalishaji umeme kuwa kubwa;
1.kila kukicha wakurugenzi wa TANESCO wanapiga dili, mfano Mhando.
2.kulipia tsh.5,520/- kila mwezi kwa ajili ya kukamilisha mikataba kama IPTL, Songas, RICHMOND, PAP, Dowans, Symbion

WANANCHI TUTAUTUA MZIGO HUU SIKU TUTAKAPOAMINI BILA CCM INAWEZEKANA, kama tutaendelea na CCM tutapigwa danadana na habari zisizo rasmi TANESCO wanaandaa DODOSO LA KUPANDISHA BEI UMEME. wakipandisha tu posho ya ewura, REA, VAT zote zitapanda kwa sababu upatikana kupitia bei itakayopandishwa na TANESCO. mfano bei ikipanda hadi kufikia 450/- mtumiaji wa umeme utalipia uniti moja kwa tsh. 927 tena hapo tsh.5,520/- ambayo unalipia kila mwezi ibaki kama ilivyo.

bila vurugu za ufisadi bei ya umeme ni tsh. 373/- kwa unit ka elfu kumi kako ungepata uniti 26.8
Kama unaona kulipia umeme kwa siku sh 1000 wakati unakula viroba vya 3000 kwa siku si uachane na umeme uwashe koroboi,kwani umelazimishwa?
 
Wanasema ile ardhi waliposimika mitambo ni mali ya umma kwahiyo kwakua tibaijuka ni waziri wa ardhi alipewa mgao ili asiwafukuze.

mhh, kwani ni open-space pale mpaka wafukuzwe na waziri? waziri anaweza kufukuza mtu labda open-space iliyojengwa kiholela, sio mahala ambapo pana hati, mwenye madaraka ya kumfukuza mtu mwenye hati ni rais baada ya kufuta hati. Hivyo kama kuhongwa ilitakiwa ahongwe JK sio Tibaijuka.
 
Kama unaona kulipia umeme kwa siku sh 1000 wakati unakula viroba vya 3000 kwa siku si uachane na umeme uwashe koroboi,kwani umelazimishwa?

Moja ya comment ya kijinga sana kwa mwaka 2014. Hata kama tunatumia majina ya bandia lakini tunawakilisha akili zetu asilia hapa JF hivyo kujivua akili ni suala aibu kwa muhusika.
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Watz wenzangu mnapopitia mambo haya ya Escrow na Iptl,Mwenyezi Mungu awajalie kumbukumbu kuwa mwaka 2009 mlikuwa mkitoa sh 5000 mnapata kati ya 26 na 31 units za Luku.
Leo hii, only 5 years later unapata half of it!

Wakisema mgao hakuna ujue kesho yake unaanza,wakitangaza bei ya umeme itashuka,ujue 6 months later itapanda.

Mwenyezi Mungu awajalie "hasira kali" na maamuzi sahihi mnapokumbuka maudhi haya yaliyosababisha wengine mkafilisika biashara zenu.

Halafu unaambiwa shida zote hizo unapata kwa sababu walafi fulani hawaridhiki na ukwasi mwingi walionao,wanaamua kufilisi hadi shirika nyeti kama Tanesco!
 
Moja ya comment ya kijinga sana kwa mwaka 2014. Hata kama tunatumia majina ya bandia lakini tunawakilisha akili zetu asilia hapa JF hivyo kujivua akili ni suala aibu kwa muhusika.
Ukweli mchungu,kama hutaki majukumu ungebaki kwa wazazi wawe wanalipa wao bili.
 
Mkuu Eistein, mbona umesahau zile picha very recently kutoka Kiteto?!hata hivyo usiziweke hapa,ziache tu!hazifai kutazama!
 
Last edited by a moderator:
This time JK akitumia madaraka yake kuwabeba watuhumiwa hawa badala ya kuhakikisha wanawajibishwa ikiwa ni pamoja kuwafikisha mahakamani na warudishe hizo hela,basi bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na raisi turudi kwenye uchaguzi mkuu au tuweke raisi wa mpito lakini sio kuendelea na Jk kwani kwani kwa huyu mtu hata mwaka mmoja ni muda mrefu linaweza aibuku kubwa kuliko hili la IPTL na mbaya zaidi,analindwa na katiba hii mbovu.

Hii kazi ya uraisi aliomba mwenyewe wala hatukumlazimisha na kama amechoka,basi ajiuzulu.
 
Kuna watu husemaga Mkulu akipanda ndege na kutokomea muda mrefu nje ya nchi ujue kuna kombora litalipuka.

Sijui ni kweli hii?ngoja tuone.
 
NDO MAANA WANAICHELEWESHA HII RIPOTI, NA LAZIMA IONDOKE NA WEZI WOTE.

CCM wezi hawana hata chembe huruma, madawa hakuna, miradi ya maji na umeme imesimama, umeme ghali, mikopo vyuoni hata wenye sifa wamekosa.

CCM WAMEONA HAITOSHI WAMEINGIA KWENYE A/C YA SACCOS YA WALIMU HUKO MOSHI WAMEIBA PESA ZAO!

Kila kona ni vilio bado wanatumia pesa walizoiba kumwandaa mwizi mwingine lowasa aje kutuibia. Hatuta kubali haya yaendelee.

KAMA TAIFA HUU NI WAKATI WA KUSHIKAMANA KULIKO WAKATI WOWOTE.
 
This time JK akitumia madaraka yake kuwabeba watuhumiwa hawa badala ya kuhakikisha wanawajibishwa ikiwa ni pamoja kuwafikisha mahakamani na warudishe hizo hela,basi bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na raisi turudi kwenye uchaguzi mkuu au tuweke raisi wa mpito lakini sio kuendelea na Jk kwani kwani kwa huyu mtu hata mwaka mmoja ni muda mrefu linaweza aibuku kubwa kuliko hili la IPTL na mbaya zaidi,analindwa na katiba hii mbovu.

Hii kazi ya uraisi aliomba mwenyewe wala hatukumlazimisha na kama amechoka,basi ajiuzulu.

Thubutu mkuu!!! bunge hili lililojazana na hawa magamba!!! mmbunge yupi wa intarahamwe atakubali…huenda nusu ya wabunge wa magamba hatutawaona tena katika baada ya uchaguzi wa 2015…na tunaambiwa baada ya wafadhili kukataa kutoa huo msaada..huko hazina kumekauka na hakuna hela ya kuwalipa hawa wabunge na mishahara ya wafanyakazi huenda isilipwe kwa wakati wake au ….??
 
MTANISAMEHE SANA NDUGU ZANGU LAKINI WAZUNGU WANAMSEMO KUWA FIRST EXPRESSION FIRST IMPRESSION (KWA TAFSIRI ISIYO RASMI NI KUWA MUONEKANA WAKO WA KWANZA NDIO PICHA HARISI YA JINSI ULIVYO), SASA KAMA JK NDIO RAISI WETU,... UNATEGEMEA WATZ TUKOJE KICHWANI NA KITABIA>???

BINAFSI SOMETIME NAONA AIBU KUJITAMBULISHA KAMA MTZ MBELE ZA WATU WENGINE, LEO WATU TUNALIA MADAWA, NA HOSPITAL DUNI, LAKINI MADAKTARI WALIVYOGOMA 2012 SERIKALI ILITUCHONGANISHA WAKAFANIKIWA KUBADILI 1 KUWA 11, NASI TUKAUFYATA.. LEO TUNALIA. RICH MOND , MEREMETA, CHENJI YA RADA, KIWIRA, WIZI WA TWIGA, MADAWA YA KULEVYA, MAUAJI YA MWANGOSI, KESI YA ULIMBOKA.... YOOOTE YALIPITA.. TUPO TUNAKENUA TU

HAYA MAMBO BILA KUFICHA TUMEJITAKIA WENYEWE WATZ, NJAA ZIMETUTAWALA , HATUKO SERIOUS NA MAMBO YA MSINGI KABISA, HATUNA CHA KUANGALIA KESHO NDIKO KUMETUFIKISHA HAPA. MTU ANAYEIKOSOA SERIKALI NDIYE MBAYA NA ANAPASWA KUUWA, HATA HAO WAKINA MWIGURU NCHEMBA WANAOJIFANYA WAZALENDO HUWASIKII KABISA WAKISEMA KITU KATIKA HILI.. LAKINI WALIKUWA TAYARI KUMPA PESA RUDO AINGAMIZE CHADEMA NA KUMTUNGIA KESI LWAKATALE


UMIMI, NA UNAFIKI NDIO VIMETUTAWALA HASWA KULIKO KUANGALIA MAMBO KWA UHARISIA, LEO WALE BUKU 7 (MSALANAI, FAIZA FOX, LE MUTUZ, NAPE, MWANA DIWANI, CHABRUMA, OCAMPO FOUR, LAKI SI PESA et al...) SIJUI WAMELALA, HUWAONI HUMU KABISA, BUT ANZISHA MADA YA CHADEMA KUNA MGOGORO, AU KADA WA CHADEMA KAHAMIA CCM.,. HAPO WATAKOMENTI KILA BAADA YA SEKUNDE.

HATA WALE VIJANA WAKINA MWAMBAPAMBA NA SHOGA YAKE JULIANA, AU WAKINA JANUARY MAKAMBA HUWAONI KUKEMEA HAYA MAMBO KABISA, UTADHANI WANAISHI MARS.

SISIEMU YOOTE KATIKA HILI LA WIZI WAKO PAMOJA KABISA WANASHIRIKI VIKAO HARAMU VYA KUCHAKACHUA AU KULIPUNGUZA NGUVU JAMBO HILI, KUANZIA LEO VIKAO HAVIISHI DODOMA, NEXT WEEK NDIO KABISA MAWAZIRI WATAPOTEA KABISA BUNGENI...
 
kwa hiyo pamoja na mambo mengine umeme utashuka bei?

maana hili dubwana la mafisadi IPTL halipo?
 
Kuna watu husemaga Mkulu akipanda ndege na kutokomea muda mrefu nje ya nchi ujue kuna kombora litalipuka.

Sijui ni kweli hii?ngoja tuone.

Mechmar na std chartered Malaysia wameamua kumwaga mboga,maana rugemalila alisaidiwa na serikali kumwaga ugali

wahisani wameapa kutotoa hata senti sababu ya mafisadi
 
kwa hiyo pamoja na mambo mengine umeme utashuka bei?

maana hili dubwana la mafisadi IPTL halipo?

haaa mkuu chini ya hawa magamba hakuna kitu kushuka, tarajia mgao mwingine wa umeme kuelekea uchaguzi mku 2015.... umeme ushuke wao watakula wapi??? Mkuu hizi nyakati ni za chukua/beba chako mapema bana zaidi ya yote 10% inahusika, baada ya hili la IPTL kuisha kuna sekeseke la ujenzi wa bomba la gesi watu wameshapiga mfukoni/cha juu zaidi ya trilioni moja, yaani gharama harisi ya ujenzi wa bomba Mtwara to Dar ni kati ya dola milioni 500- 600, watu wamefanya mara mbili zaidi ya hizo gharama, chejea ccm......
 
Kuhusu hiyo update, kikao cha kamati ya Nishati, haya na hizo posho za mil 3 kila mjumbe pesa za toka wapi, na wanalipwa kiasi hicho kwa walaka upi?

Haya mambo jamani kwanini watanzania tunakuwa kama mazezeta? We should take action jamani khaaa!!
 
Ziwekwe bilioni 306 halafu tanesco wadai bilion 321 kivipi wakati zilizokuwepo tangu mwanzo ni bilioni 306?

Zilizokwapuliwa ziliwekwa kwa sababu ya mgogoro uliohusu madai haya, hivyo zilitakiwa kurudishwa TANESCO.
 
Zilizokwapuliwa ziliwekwa kwa sababu ya mgogoro uliohusu madai haya, hivyo zilitakiwa kurudishwa TANESCO.

ndo kusema zile za kulipia umeme kwa halali walikua wakilipwa hao iptl?
 
ndo kusema zile za kulipia umeme kwa halali walikua wakilipwa hao iptl?

Walidanganganya mwanzoni na wakawa wanalipwa zaidi ya walichostahili, kama kawaida ya wasomi wetu wapumbavu, wanaoingia mikataba fake hawakuliona hilo. Mbaya zaidi mwishoni wameshirikiana kuiba hata kile ambacho kingerudishwa.
Muda mrefu IPTL ilikuwa haizalishi umeme, walikuwa wanalipwa capacity charge.
 
Back
Top Bottom