Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,914
- 10,273
Hilo ghorofa lake bado halijafanyiwa finishingUsiwashushe watanzania kiasi hicho mkuu.
Hiyo ni nyumba ya kawaida sana
Hilo ghorofa lake bado halijafanyiwa finishingUsiwashushe watanzania kiasi hicho mkuu.
Hiyo ni nyumba ya kawaida sana
Kagame na watu wake walianza kama waongo lakini sasa inaelekea kuwa na ukweli. Hawa Watutsi ni mabingwa wa ujasusi, habari zao zaweza kuwa kweli. Pili mnapaswa kujua Mtikila si mwanasiasa tena ni mtafuta pesa. Kama wanakuja na noti, hakika atawaunga mkono. Kuthibitisha kwamba Mtikila yu karibu na wapinga serikali ya kAgame, someni waraka wake unaohusu operesheni ya wahamiaji, wafugaji wa Kinyarwanda mkoani Kagera na Geita.Yumo!!acheni upekuzi. Kila kitu kimepangwa huyo mtikila anajua anachofanya!
Asante sana kwa taarifa mkuu. Nilisoma hii ripoti mahali fulani. Pia nikasoma kuwa kuna wana "usalama" wa Tanzania wali-demand US$5million for the "general" Bigaruka wakanyimwa, dau likashuka mpaka $3million. Inasemekana amekamatwa na DMI agents akiwa Kigoma. Hongera sana Pres Kagame na DMI yako makini kwa kumkamata gaidi huyu hatari kwa usalama si tu wa Rwanda bali pia eneo la maziwa makuu. Ushauri wa bure, moja Mtikila achukuliwe hatua kwa kuwakirimu magaidi wa FDLR na kutetea mauaji ya halaiki. Pili, Tanzania tusikubali ardhi yetu itumiwe na hawa wauaji wa FDLR.
Kwa hiyo kawanunua Usalama wa Tanzania wamkamatie?
Zanzibar-NyamweziMtikila apewe ulinzi mkali, wamenya machungwa wa Kagame wamejaa kila kona Daressalaam
===>Angalia kucha zako na macho yako,wamejaa tele humu JF!Zanzibar-Nyamwezi kiongozi hapana sijasema hilo. Ripoti niliyoisoma inadai kuwa kuna wana usalama walipomuweka huyo FDLR genocidaire under house arrest waliwafamisha FDLR ya kuwa kama wanataka aachiwe ni shurti walipe hizo US$5million. Zilipokataliwa, dau likashuka mpaka US$3million. Sasa sijui kama zilitolewa au la. Lakini ripoti inasema kuwa Bigaruka alidakwa akiwa Kigoma na DMI. Uhusika au ushirikiano wa Mtikila na wana usalama siufahamu na sina habari nao kwa kuwa haunihusu.
Mtikila ni kisemeo tu....just a mouth piece......jamaa waliishi kwenye moja ya majumba yaliyoko Sinza madukani......Inawezekana Mtikila naye hana akili. Mtu huyu ana ulinzi gani wa kujiamini hadi kukaribisha magaidi kwa siri na kukaa nao nyumba moja?
At the beginning of his stay in Dar es Salaam, Bigaruka stayed in the house of Tanzanian reverend Christopher Mtikila, which the reverend acknowledged to the UN Group (see annex 42). In early February, after these meetings, Bigaruka disappeared. The Group continues to investigate the matter.
Kumbe hata Rev.Mtikila naye anatumika. Sijui tumwamini nani sasa?
Mtikila ni mtu mjanja sana mwenye akili mno mwenye uwezo mkubwa wa kucheza na hoja.Aweza kuwa kaamua kuinunua hii kesi hata kama haipo ili acheze ligi na watu hao wa UN.Mwisho wa siku watashangaa wenyewe.
===>Angalia kucha zako na macho yako,wamejaa tele humu JF!
Zanzibar-Nyamwezi
===>Naamini wakimgusa tu ndio utakuwa mwisho wa PK pale mtaa wa pili ie Chigali.
Hilo ghorofa nalifahamu sana hakuna Mtanzania wa kawaida anaweza jenga tena miaka hiyo. Huyu jamaa yako kaanza mishemishe muda mrefu sana. Akabanwa,akakata tamaa mpaka walipokuja wapiga deal akina RA ndipo akaanza kufufua gofu lake!
Zanzibar-Nyamwezi kiongozi hapana sijasema hilo. Ripoti niliyoisoma inadai kuwa kuna wana usalama walipomuweka huyo FDLR genocidaire under house arrest waliwafamisha FDLR ya kuwa kama wanataka aachiwe ni shurti walipe hizo US$5million. Zilipokataliwa, dau likashuka mpaka US$3million. Sasa sijui kama zilitolewa au la. Lakini ripoti inasema kuwa Bigaruka alidakwa akiwa Kigoma na DMI. Uhusika au ushirikiano wa Mtikila na wana usalama siufahamu na sina habari nao kwa kuwa haunihusu.
Ni nyumba ya kawaida, mkuu.