Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Masanilo masanilo!!!!
Karibu kundini mchungaji wa kondoo nipo na nguvu mpya!
Masanilo masanilo!!!!
Karibu kundini mchungaji wa kondoo nipo na nguvu mpya!
Mchungaji naomba ujisitiri kwa manufaa ya wanakondoo wako
Usiwe na wasi wasi ni sehemu ya ibada!
dini ya mashetani hii eeh?
Tafadhali hebu ni PM nikutumie sara ya toba!
PM yangu iko disabled. lakini weka tu hapa kwa kuwa ni sala kwa manufaa ya wengi
Mchungaji naomba ujisitiri kwa manufaa ya wanakondoo wako
Hii avatar ya baba mchungaji haiendani kabisa na maadili ya utumishi.
Anyway hongera Mchungaji..........
Hii avatar ya baba mchungaji haiendani kabisa na maadili ya utumishi.
Anyway hongera Mchungaji..........
Dah....Hizo nguvu za kuwa mchungaji umezipata wapi bwana?Ngoja FD8 aje humu
Nabadili Avatar ni vute kondoo wengi!
Karibu kundini mchungaji wa kondoo nipo na nguvu mpya!
eeeh Rev. Masanilo nimekukubali lkn nasoma namba kwanza.mpakwa mafuta wa bwana.
Mtumishi naomba kazi kanisani mwako. Kamati ya kuhesabu sadaka imeshapata mwenyekiti?Nabadili Avatar ni vute kondoo wengi!
haaa mara?
Mtumishi naomba kazi kanisani mwako. Kamati ya kuhesabu sadaka imeshapata mwenyekiti?