PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,641
- 15,730
Baada ya aliyekua Spika wa bunge (House) la Marekani kuondolewa, Wabunge wa Bunge la Marekani, ambalo wabunge (Representatives) wake wengi ni kutoka Chama cha Republican, wamependekeza waongee na Donald Trump aweze kuwa Spika wa bunge hilio.
Wabunge hao waliweza kufikisha ombi hilo kwa Trump amnapo Trump amekubali ombi hili lakini under condition kuwa ataongoza kwa muda tu, kwani yeye yupo kwenye maandalizi ya kugombea urais wa Marekani.
Republican wamefikia hatua hiyo baada ya kukubaliana kwamba chama hicho kinamhitaji sana Trump na ndiye anayeweza kuwaunganisha, kwani kwasasa ni kama wamekosa umoja.
Mpaka sasa, maoni yanaonyesha Trump ndiye anaongoza kuwa atashinda kiti cha nafasi ya urais, huku akifuatiwa na Joe Biden.
Trump na Joe ni wapinzani wrnye mfanano ndani ya US. Kirika wanafanana, japo Joe Biden ni mkubwa kiumri, pia wote wawili hawakuwahi kutumia vilevi.
Wabunge hao waliweza kufikisha ombi hilo kwa Trump amnapo Trump amekubali ombi hili lakini under condition kuwa ataongoza kwa muda tu, kwani yeye yupo kwenye maandalizi ya kugombea urais wa Marekani.
Republican wamefikia hatua hiyo baada ya kukubaliana kwamba chama hicho kinamhitaji sana Trump na ndiye anayeweza kuwaunganisha, kwani kwasasa ni kama wamekosa umoja.
Mpaka sasa, maoni yanaonyesha Trump ndiye anaongoza kuwa atashinda kiti cha nafasi ya urais, huku akifuatiwa na Joe Biden.
Trump na Joe ni wapinzani wrnye mfanano ndani ya US. Kirika wanafanana, japo Joe Biden ni mkubwa kiumri, pia wote wawili hawakuwahi kutumia vilevi.