Reminder to all MMU

Yan umenigusa san maan hat kam unatatizo lak unashindwa kuomb ushaur maana unakut m2 anatatiz serious lakin w2 wanavyofany mzah mpk unaumia unaon haina maan tubadilike
 
Kaunga thanx ni ukweli uliyosema ila nahisi ukiwekwa mkakati madhubuti watu tutarekebika maana badala ya ushauri Kwa wahucka bac mizaha, dhihaka namatusi ndo wapewa wengi.. wengine wanaumizwa zaidi na hata kujutia kuomba the so called ushauri..
 

Ndugu hapo umeongea sawasawa kabisa . haiwezekani pahali ambapo tunasema is home for great thinkers pawe kijiwe cha wahuni. Nazani wana JF wanatakiwa watambue hilo otherwise mtu ambaye atakuwa anatoa maneno ya ajabuajabu ambayo hayafanani na great thinker . Tumkatae huyo
 
akhsante sana, upo sawa kabisa..naona jukwaa letu hadhi yake itaanza kurudi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…