Reli mpya ya kisasa SGR yazinduliwa Kenya

It's just a matter of time bro just wait for our SGR, It will be one of the best SGR in Africa plus those in Morocco and South Africa... Its miracle to inaugurate something today but it's quality is very poor compared to those inaugurated by Moroccans and South Africans years ago... Can't you ask yourself why President Magufuli decided to drag away the contract with the Chineses and take Turkeys +Portugueses.... #wameibiwa#mitungiYagesi

Bora mitungi ya gesi, hiyo ni mitungi ya chang'aa.
 
Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx.. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]
vipi kuhusu yenu ambayo ni ndoto za almasi....hehe!!!jamaa wenu hana hela na anazindua reli...dah! naskia anakopa kopa kama malaya eti
 
jibu mwafaka...kila la heri though...mngekuwa wajanja mngetafta investment nyingine...nasema hivi kwasababu hamna market yake...rwanda na burundi tu...sasa hii reli yenu ni dnoto...

Kuna soko la ndani pia na Kongo Mashariki.
 
Back
Top Bottom