Reli mpya ya kisasa SGR yazinduliwa Kenya

Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx .. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]
 
Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx .. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]
Yetu iko tu sawa, leteni zenyu zinakaa chupaa ya cocacola, na ziwe bullet train za freight alafu when that is done you can comment
 
Nice photos... Ila Wachina kila wanapojenga wanatumia style ya majengo ya Kichina, utadhani tuko China

Hata Wamarekani wangejenga wangetumia style zao, hivyo sio issue hata sasa tunajifunza Kichina kwa kwenda mbele.
 
Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx.. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]

Heheee.... Mate imegeuka kuwa chumvi... Meza tu kaka....
 
Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx.. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]
Bora wao kaka. Mbn sisi hatuna hizo za kubambikiwa wala za za mitungi ya maji...???
 
Wakenya naomba kujua kama kuna Rais yeyote wa Uganda au Rwanda au Congo aliyehudhuria the launch sababu sijafuatilia pia hongereni hasa kwa station.
 
lEns1fp.jpg


2JE7qgv.jpg


wvpVOEL.jpg


FdyKqAS.jpg


vWi3tFz.jpg


kVvHdZu.jpg
 
  • Imepewa jina Madaraka Express, ile aliyojenga mkoloni zaidi ya miaka 100 iliyopita iliitwa Lunatic Express
  • Ya abiria itabeba watu 1,200 kwa mpigo
  • Inter-city itasafiri kwa masaa manne Nairobi-Mombasa bila kusimama
  • Inter-county itasafiri kwa masaa matano baina ya Nairobi na Mombasa ambapo kuna vituo 9 katikati
  • Kasi yake ni 120km/h
  • Umbali ni 472km
  • Nauli ni Ksh700 (TZS 15,000)
  • Itagharimu Kshs 50,000 kusafirisha kontena, awali iligharimu Kshs 100,000 kusafirisha kwa malori, hivyo gharama imepunguzwa kwa nusu, tunasubiri Waganda, Wanyarwanda na batoto ba Kongo DRC kuwaza upya
  • Jana imezinduliwa ya mizigo, leo rais anazindua ya abiria na atasafiri nayo hadi Nairobi kutokea Mombasa.



=====
Kenya imezindua reli mpya kati ya mji wa Mombasa hadi Nairobi ikiwa ni miezi 18 mapema.

Reli hiyo iliotengezwa kupitia ufadhili wa shilingi bilioni 3.2 kutoka serikali ya China ndio mradi mkubwa wa miundo msingi kuwahi kutekelezwa na serikali tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake.

Mradi huo umechukua takriban miaka mitatu na nusu kwa kutumia teknolojia ya ujenzi wa reli ya China kukamilika.

Ni reli ya kwanza katika kipindi cha karne moja.

Safari ya kutoka Mombasa kuelekea Nairobi na treni ya kisasa itachukua saa nne na nusu ikilinganishwa na saa tisa kwa kutumia basi na saa 12 kwa kutumia treni ya zamani.

Nauli ya watu watakaokalia viti vya kawaida ni shilingi 900 huku wale watakaosafiri kwa kutumia business class wakilipa shilingi 3,000.

Rais Uhuru Kenyatta alisema wakati wa uzinduzi wa reli hiyo ambayo imeanzishwa mwamko mpya katika historia ya Kenya.

''Historia ilianzwa miaka122 iliopita wakati Waingereza waliokuwa wametawala taifa hili walipoanzisha treni hiyo iliokuwa haijulikani inakokwenda na kupewa jina Lunatic Express

''Leo licha ya kukosolewa pakubwa tunasherehekea Madaraka Express {ikitajwa baada ya siku ambayo Wakenya walijipatia uhuru wao kikamilifu} badala ya Lunatic Express.

Gharama ya mradi huo imekosolewa na upinzani ambao unasema mradi huo umeigharimu Kenya fedha nyingi mno.

Vilevile wamemshutumu rais Kenyatta kwa kuomba fedha kutoka China bila mpango.

Serikali nayo inasema kuwa ni sharti iwekeze katika miundo msingi ili kuvutia wawekezaji.

Ni,njeeka fio ,,
 
Duuuh.. Hiyo treni yenyewe mbona kama MITUNGI YA GESI ya oryx.. Ni za mwendokasi kweli hizo mbona old school sana.. Poleni kwa kubambikwa Mchina hana masihara kabisa [HASHTAG]#RIPkenyansSGR[/HASHTAG]
Nyie mnayo,yenu iko wapi iliyofanana na hiyo :D:D
 
Nyie mnayo,yenu iko wapi iliyofanana na hiyo :D:D
It's just a matter of time bro just wait for our SGR, It will be one of the best SGR in Africa plus those in Morocco and South Africa... Its miracle to inaugurate something today but it's quality is very poor compared to those inaugurated by Moroccans and South Africans years ago... Can't you ask yourself why President Magufuli decided to drag away the contract with the Chineses and take Turkeys +Portugueses.... #wameibiwa#mitungiYagesi
 
Back
Top Bottom