mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Manji alinunua mechi ya yanga m100
Bure , Bei ya maziwa hapa UK na hapo. Naona anagawa bure na zaidi ya bureAnatulisha kwani hayo maziwa dukani unapewa bure?
du we jamaa noma, ina maana ukifanya kazi kwa bakheresa washeli unaweka rehani siku yoyote ataitaka!Baka akitoa pesa kwa masharti asitangazwe ndio Dini yake inavyotaka... ila sifa yake hajawahi kwenda Mecca sababu anapenda washeli za wafanyakazi wake... Nenda home kwake pale Masaki nje kama klabu cha omba omba migao ya pesa kila siku
Sawa, nenda kwa mangi ukachukue bureBure , Bei ya maziwa hapa UK na hapo. Naona anagawa bure na zaidi ya bure
Kuna watu wanapanga foleni kila siku kwenye vituo vyake vya biashara ili wapewe, hawaulizwi imani zao, hivyo hata wewe unaweza kusogea hapo utapewa tu.Kwa watu wa dini yake..!
Dastan Tido Mhando na Charles Hilal ni waislam? udini ukiupenda sana hupofushakuna jipu kubwa sana hapo katika udini huyu jamaa misaada imekaa kiudini sio kwa wote hata ajira zake kusa sifazote ila kuwa na moja tuu ya dini utapewa kazi
kwanzia mfagiaji hadi top ni muslim na je wasio na imani waajiriwe wapi?
Sisi hatujuwi hayo wala hatujasikia, yawezeka hizo ni bahasha zao alikuwa anawapa. Kwa mini I we siri ? Sisi tulio wengi tunamjuwa Mengi maana michango take ni ya wazi,tunaiona hatakama unaona ni kidogo.Umeona milioni 25 pesa nyiiiiingi. Contributions za bakhresa waulize ma Raisi wote watakwambia
Huo msemo ni applicable kwa Sadaka inayotolewa kwa Bwana/Mungu. Tofautisha tafadhali.Huu msemo (ukitoa sadaka kwa mkono wa kulia basi wakushoto usijue) uliisha wahi kusikia?
Ustaadhi,mleta mada nadhani wewe ni zaidi ya mjinga na hata bado sijaelewa ulichoenda kusoma shule? usikute baba yako,mama yaki, mkeo au watoto wako wanajusifu eti baba etu ana akili Sanaa ...........laiti wangekujua jinsi ulivyo box kichwani wasingechelewa kwenda kukuuza uarabuni ukafulishwe chupi huko!!
punguani wahed!