Reginald Mengi aungwe mkono, Bakhresa, Dewji Mh!!

sinajinasasa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
2,989
4,126
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kuwa Reginald Mengi amechangia ujenzi wa kitua cha afya huko Mbeya shilingi milioni 25. Najiuliza huyu mzee ana moyo wa aina gani, au dini yake ndio imemjenga kuwa na huruma ya kuguswa na matatizo ya watu? Ameshachangia sehemu nyingi tu zaidi ya hiyo.

Hapa bongo tunao matajiri ambao tunakula bidhaa zao kila siku kama Bahresa na Mo Dewji na Manji. Hawa kazi yao ni kukusanya pesa tu lakini hakuna mrejesho kwa wananchi, mnatulisha masoda na majuice ambayo hayajengi afya bora zaidi ya kuleta magonjwa! kwanini basi msirudishe faida zenu japo sehemu kidogo kwa kusaidia sehemu zenye mahitaji kama shule, vituo vya afya nk?

Sijawahi kusikia hawa jamaa wamesaidia public au dini zao hawa zinafanana kwamba ukifanya biashara na kulipa kodi inatosha? kuna faida gani ya kuwa na tajiri namba moja kijana Katika Afrika ambaye hata maskini hawajivunii uwepo wako.

Fedha nyingi hazileti afya wala long life, sioni necessity ya ku accumulate wealth kiasi kikubwa bila kuwapa nafuu maskini somewhere kutoka katika faida unazozipata kwenye biashara zako. Mengi angekuwa na biashara ndogo ndogo wallahi ningeamua kumuunga mkono kwa kuuza bidhaa zake.

Bidhaa za Mo na Azam zimejaa kila kona nchini, lakini mrejesho hakuna zaidi ya ule wa kiuchumi kwamba ametengeneza ajira. Hawa matajiri wengine wanaona kitu cha maana kuchangia kwenye michezo kuliko kugusa roho za watu. Kwa kweli Mzee Mengi anapaswa kuungwa mkono kwa kila jambo.
 
Nadhani wanatoa ila hawatangazwi sana.

Pia matajiri wa kibongo utoaji wao siku hizi umekuwa mgumu sana tangu Sizonje ashindwe kueleza yale madolari toka kwa M7 aliyokabidhiwa cash cash pale ikulu na mwakilishi wa M7 kama mchango wa waadhirika wa tetemeko Kagera kayaelekeza kwenye nn haswa
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kuwa Reginald Mengi amechangia ujenzi wa kitua cha afya huko Mbeya shilingi milioni 25. Najiuliza huyu mzee ana moyo wa aina gani, au dini yake ndio imemjenga kuwa na huruma ya kuguswa na matatizo ya watu? Amesha changia sehemu nyingi tu zaidi ya hiyo. Hapa bongo tunao matajiri ambao tunakula bidhaa zao kila siku kama Bahresa na Mo Dewji na Manji. Hawa kazi yao ni kukusanya pesa tu lakini hakuna mrejesho kwa wananchi, mnatulisha masoda na majuice ambayo hayajengi afya bora zaidi ya kuleta magonjwa! kwanini basi msirudishe faida zenu japo sehemu kidogo kwa kusaidia sehemu zenye mahitaji kama shule, vituo vya afya nk? sijawahi kusikia hawa jamaa wamesaidia public au dini zao hawa zinafanana kwamba ukifanya biashara na kulipa kodi inatosha? kuna faida gani ya kuwa na tajiri namba moja kijana Katika Afrika ambaye hata maskini hawajivunii uwepo wako. Fedha nyingi hazileti afya wala long life, sioni necessity ya ku accumulate wealth kiasi kikubwa bila kuwapa nafuu maskini somewhere kutoka katika faida unazozipata kwenye biashara zako. Mengi angekuwa na biashara ndogo ndogo wallahi ningeamua kumuunga mkono kwa kuuza bidhaa zake. Bidhaa za Mo na Azam zimejaa kila kona nchini, lakini mrejesho hakuna zaidi ya ule wa kiuchumi kwamba ametengeneza ajira. Hawa matajiri wengine wanaona kitu cha maana kuchangia kwenye michezo kuliko kugusa roho za watu. Kwa kweli Mzee Mengi anapaswa kuungwa mkono kwa kila jambo.
Ile miradi sio yao.
 
Baka akitoa pesa kwa masharti asitangazwe ndio Dini yake inavyotaka... ila sifa yake hajawahi kwenda Mecca sababu anapenda washeli za wafanyakazi wake... Nenda home kwake pale Masaki nje kama klabu cha omba omba migao ya pesa kila siku
 
Bila shaka wee ni mchaga maan watu wa kaskazin kwa kumpgiaga upatu uyu mengi mpo vizuri..mtu anatajwa kuwa na utajiri zaid ya USD 300M kutoa msaada wa Tshs.25M ndo kelele zote hizo..misaada ya mzee mengi mingi lazima itangazwe,mm ni rc pure ila mbona naonaga mitaan bakhresa anawajengea muslim misikitin mingi tu yenye thaman zaid ya hyoo pesa kam msaada na sionagi wakimtangaza kwenye tv
 
Media ni kitu kizuri na kibaya sana: hakuna dini inayopenda mtu akitoa msaada kujitangaza, na kufanya hivyo ndio unatoka nje ya kusudio la kutoa msaada na badala yake kuonekana kama umejitangaza.
Sio wote watoao misaada wanapenda kijulikane walichotoa au kujulikana.
 
Mkuu kwenye kutoa kuna mambo mawili, kuna wanaotoa kwa kutafuta sifa mbele ya jamii ili wakubalike. na ambao wanatoa kidini (ibada). Anayetoa kwa nia ya kukubalika mbele ya jamii atafanya kila njia kile anachotoa kionekane. Anayetoa kiibada (uislam na ukristo zote zina ibada ya kutoa) atatoa bila mbwembwe na huenda kwa kificho. Kuna watu leo hata wakitoa sahani ya wali wataalika media. Hata hivyo mi nimeshuhudia shule ambayo baadhi ya vyumba vimejengwa na SS Bakhresa eneo furani jijini dar ambapo pia ana kiwanda cha kuoka mikate kwenye eneo hilo. lakini huyu ndugu pia kuna raia wanamsubiri kila siku kwenye vituo vyake vya biashara na anawapa cash ili wajikimu na maisha
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kuwa Reginald Mengi amechangia ujenzi wa kitua cha afya huko Mbeya shilingi milioni 25. Najiuliza huyu mzee ana moyo wa aina gani, au dini yake ndio imemjenga kuwa na huruma ya kuguswa na matatizo ya watu? Amesha changia sehemu nyingi tu zaidi ya hiyo. Hapa bongo tunao matajiri ambao tunakula bidhaa zao kila siku kama Bahresa na Mo Dewji na Manji. Hawa kazi yao ni kukusanya pesa tu lakini hakuna mrejesho kwa wananchi, mnatulisha masoda na majuice ambayo hayajengi afya bora zaidi ya kuleta magonjwa! kwanini basi msirudishe faida zenu japo sehemu kidogo kwa kusaidia sehemu zenye mahitaji kama shule, vituo vya afya nk? sijawahi kusikia hawa jamaa wamesaidia public au dini zao hawa zinafanana kwamba ukifanya biashara na kulipa kodi inatosha? kuna faida gani ya kuwa na tajiri namba moja kijana Katika Afrika ambaye hata maskini hawajivunii uwepo wako. Fedha nyingi hazileti afya wala long life, sioni necessity ya ku accumulate wealth kiasi kikubwa bila kuwapa nafuu maskini somewhere kutoka katika faida unazozipata kwenye biashara zako. Mengi angekuwa na biashara ndogo ndogo wallahi ningeamua kumuunga mkono kwa kuuza bidhaa zake. Bidhaa za Mo na Azam zimejaa kila kona nchini, lakini mrejesho hakuna zaidi ya ule wa kiuchumi kwamba ametengeneza ajira. Hawa matajiri wengine wanaona kitu cha maana kuchangia kwenye michezo kuliko kugusa roho za watu. Kwa kweli Mzee Mengi anapaswa kuungwa mkono kwa kila jambo.
Kutoa sio lazima ni moyo tu usiwalaumu
 
Mkuu kwenye kutoa kuna mambo mawili, kuna wanaotoa kwa kutafuta sifa mbele ya jamii ili wakubalike. na ambao wanatoa kidini (ibada). Anayetoa kwa nia ya kukubalika mbele ya jamii atafanya kila njia kile anachotoa kionekane. Anayetoa kiibada (uislam na ukristo zote zina ibada ya kutoa) atatoa bila mbwembwe na huenda kwa kificho. Kuna watu leo hata wakitoa sahani ya wali wataalika media. Hata hivyo mi nimeshuhudia shule ambayo baadhi ya vyumba vimejengwa na SS Bakhresa eneo furani jijini dar ambapo pia ana kiwanda cha kuoka mikate kwenye eneo hilo. lakini huyu ndugu pia kuna raia wanamsubiri kila siku kwenye vituo vyake vya biashara na anawapa cash ili wajikimu na maisha

Wamezoea mtu ajioneshe hao....
 
kuna raia wanamsubiri kila siku kwenye vituo vyake vya biashara na anawapa cash ili wajikimu na maisha
Misaada kama hii uliyosema sio endelevu inazidi kuwafanya wabweteke. Msaada kama huo wa kusaidia shule kama anatoa hiyo ndio endelevu na pongezi kwake.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom