Reginald Mengi aungwe mkono, Bakhresa, Dewji Mh!!

unataka kila wanapotoa watangaze??
waislam dini yetu hauruhusu mambo ya sifa hasa wakati wa kutoa msaada

SIJASEMA MENGI KAJITANGAZA WALA ANA SIFA mungu amtangulie kwa moyo wa imani kwa kuguswa na kusaidia
Msitumie mgongo wa dini kama kisingizio, kiufupi ukishakua mfanyabiashara moja kwa moja unaingia kwenye kundi la matapeli, huwezi ukawa tapeli halafu ujidai unashika dini. Kama unafanya biashara, na hatukusikii umetoa msaada, basi hutoi, msijifiche kwenye dini, toeni misaada na tuione mkitoa, otherwise ni misaada hewa.
 
Msitumie mgongo wa dini kama kisingizio, kiufupi ukishakua mfanyabiashara moja kwa moja unaingia kwenye kundi la matapeli, huwezi ukawa tapeli halafu ujidai unashika dini. Kama unafanya biashara, na hatukusikii umetoa msaada, basi hutoi, msijifiche kwenye dini, toeni misaada na tuione mkitoa, otherwise ni misaada hewa.

wewe huna akili acha kudandia dundo kwa mbele soma uelewe si kila muda ni wa kukurupuka tu

sitokujibu endapo utaniquote tena

kama nitapigwa ban sitojilaumu kwa lolote lile nafsi imeridhika

Chao Chao
 
Msitumie mgongo wa dini kama kisingizio, kiufupi ukishakua mfanyabiashara moja kwa moja unaingia kwenye kundi la matapeli, huwezi ukawa tapeli halafu ujidai unashika dini. Kama unafanya biashara, na hatukusikii umetoa msaada, basi hutoi, msijifiche kwenye dini, toeni misaada na tuione mkitoa, otherwise ni misaada hewa.
Biashara hazijaharamishwa, kama kwenye biashara yako kuna kautapeli unafanya ni juu yako. hata hivyo ZAKA kwa mujibu wa uislam inatakasa biashara. pamoja na hivyo Riya (kutoa kwa matangazo) imekatazwa. hata hivyo ametoa ama hajatoa ni juu yake.
 
Biashara hazijaharamishwa, kama kwenye biashara yako kuna kautapeli unafanya ni juu yako. hata hivyo ZAKA kwa mujibu wa uislam inatakasa biashara. pamoja na hivyo Riya (kutoa kwa matangazo) imekatazwa. hata hivyo ametoa ama hajatoa ni juu yake.
Tuishie hapo
 
Mzee S.S Bakhresa umemuonea mkuu. Nilishawahi kuwa na mgonjwa alilazwa hospital ya Mwananyamala,kila asubuhi niliyokuwa pale kuna wafanyakazi wa Azam walikuwa wanapita wodini asubuhi na kugawa juice,keki na mikate kwa wagonjwa bureeee. Nilipohoji nikaambiwa huo ni utaratibu wa Azam katika baadhi ya Hospitali za umma.
 
Mzee S.S Bakhresa umemuonea mkuu. Nilishawahi kuwa na mgonjwa alilazwa hospital ya Mwananyamala,kila asubuhi niliyokuwa pale kuna wafanyakazi wa Azam walikuwa wanapita wodini asubuhi na kugawa juice,keki na mikate kwa wagonjwa bureeee. Nilipohoji nikaambiwa huo ni utaratibu wa Azam katika baadhi ya Hospitali za umma.
Watu hawajui ya kwamba uislam hauruhusu matangazo wakati kusaidia,hivyo huwaona tu wale wanaojitangaza kama afanyavyo mzee mengi. ktk wafanyabiashara hao watatu sidhani kama kuna anayeweza kumfikia mzee SSB kwa kusaidia jamii
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kuwa Reginald Mengi amechangia ujenzi wa kitua cha afya huko Mbeya shilingi milioni 25. Najiuliza huyu mzee ana moyo wa aina gani, au dini yake ndio imemjenga kuwa na huruma ya kuguswa na matatizo ya watu? Amesha changia sehemu nyingi tu zaidi ya hiyo. Hapa bongo tunao matajiri ambao tunakula bidhaa zao kila siku kama Bahresa na Mo Dewji na Manji. Hawa kazi yao ni kukusanya pesa tu lakini hakuna mrejesho kwa wananchi, mnatulisha masoda na majuice ambayo hayajengi afya bora zaidi ya kuleta magonjwa! kwanini basi msirudishe faida zenu japo sehemu kidogo kwa kusaidia sehemu zenye mahitaji kama shule, vituo vya afya nk? sijawahi kusikia hawa jamaa wamesaidia public au dini zao hawa zinafanana kwamba ukifanya biashara na kulipa kodi inatosha? kuna faida gani ya kuwa na tajiri namba moja kijana Katika Afrika ambaye hata maskini hawajivunii uwepo wako. Fedha nyingi hazileti afya wala long life, sioni necessity ya ku accumulate wealth kiasi kikubwa bila kuwapa nafuu maskini somewhere kutoka katika faida unazozipata kwenye biashara zako. Mengi angekuwa na biashara ndogo ndogo wallahi ningeamua kumuunga mkono kwa kuuza bidhaa zake. Bidhaa za Mo na Azam zimejaa kila kona nchini, lakini mrejesho hakuna zaidi ya ule wa kiuchumi kwamba ametengeneza ajira. Hawa matajiri wengine wanaona kitu cha maana kuchangia kwenye michezo kuliko kugusa roho za watu. Kwa kweli Mzee Mengi anapaswa kuungwa mkono kwa kila jambo.
Wewe huna lolote ,umekuja hapa kuponda imani za watu na kusifia imani yako.kwa taarifa yako sisi kutokana na imani yetu kutoa msaada kwa kujitangaza ni dhambi kama anavyofanya huyo jamaaa yako.Bali kutotokana tumearishwa na ALLAH kutoa pasina kujitanga .mtoa mada acha udini utasalimika.
 
Msitumie mgongo wa dini kama kisingizio, kiufupi ukishakua mfanyabiashara moja kwa moja unaingia kwenye kundi la matapeli, huwezi ukawa tapeli halafu ujidai unashika dini. Kama unafanya biashara, na hatukusikii umetoa msaada, basi hutoi, msijifiche kwenye dini, toeni misaada na tuione mkitoa, otherwise ni misaada hewa.
Mfuatilue kashfa zinazo mkumba huyo.usiingize masuala ya dini katk mambo yako.kwani nchiii mengi ndio tajiri pekee kwa upande wa kristo? Mbona hao wakristo wengine wasiotoa mbona usemi dini yao ndio imefanya hivyo?
 
Watu hawajui ya kwamba uislam hauruhusu matangazo wakati kusaidia,hivyo huwaona tu wale wanaojitangaza kama afanyavyo mzee mengi. ktk wafanyabiashara hao watatu sidhani kama kuna anayeweza kumfikia mzee SSB kwa kusaidia jamii
Ni kweli kabisa mkuu. Mimi ni muumini wa kikristo lakini naamini katika huo utaratibu wa kusaidia bila matangazo.
 
Media ni kitu kizuri na kibaya sana: hakuna dini inayopenda mtu akitoa msaada kujitangaza, na kufanya hivyo ndio unatoka nje ya kusudio la kutoa msaada na badala yake kuonekana kama umejitangaza.
Sio wote watoao misaada wanapenda kijulikane walichotoa au kujulikana.
Pia ni muhimu ajue kwamba ....hizo pesa kwenye hesabu zake za mwisho wa mwaka... Na kutokana na hiyo Atapata tax relief.
 
Baka akitoa pesa kwa masharti asitangazwe ndio Dini yake inavyotaka... ila sifa yake hajawahi kwenda Mecca sababu anapenda washeli za wafanyakazi wake... Nenda home kwake pale Masaki nje kama klabu cha omba omba migao ya pesa kila siku
Hapo hasaidii jamii, awajengee hospitali, shule au hata nyumba ya kuwatunza hao anaowagaia.
Kuwagaia wakazi wa Dar es salaam pekee wakati mpaja koromije wanamyingizia si sawa (kwa mujibu wa mleta uzi)
 
Mtoa mada umeandika maelezo mareeeeeeeefu kuthibitisha ujinga wako maskini weeee, kama hujui kitu ni vema kuuliza....
Hao unaowaona hawasaidiii ndio wasaidiaji wakubwa sana hasa Bakharesa kila sekta ya nchi hii anasaidia mpaka magerezani hupeleka chakula,

Ila huyo mpenda sifa katoa tu ahadi imeshatangazwa na siku ya kupeleka atatumia robo saa nzima kwenye habari wakionesha,

Analisha watoto yatima kumi makamera kila kona wakati wenzie wanawasomesha na hakuna maonesho wala matangazo.
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kuwa Reginald Mengi amechangia ujenzi wa kitua cha afya huko Mbeya shilingi milioni 25. Najiuliza huyu mzee ana moyo wa aina gani, au dini yake ndio imemjenga kuwa na huruma ya kuguswa na matatizo ya watu? Amesha changia sehemu nyingi tu zaidi ya hiyo. Hapa bongo tunao matajiri ambao tunakula bidhaa zao kila siku kama Bahresa na Mo Dewji na Manji. Hawa kazi yao ni kukusanya pesa tu lakini hakuna mrejesho kwa wananchi, mnatulisha masoda na majuice ambayo hayajengi afya bora zaidi ya kuleta magonjwa! kwanini basi msirudishe faida zenu japo sehemu kidogo kwa kusaidia sehemu zenye mahitaji kama shule, vituo vya afya nk? sijawahi kusikia hawa jamaa wamesaidia public au dini zao hawa zinafanana kwamba ukifanya biashara na kulipa kodi inatosha? kuna faida gani ya kuwa na tajiri namba moja kijana Katika Afrika ambaye hata maskini hawajivunii uwepo wako. Fedha nyingi hazileti afya wala long life, sioni necessity ya ku accumulate wealth kiasi kikubwa bila kuwapa nafuu maskini somewhere kutoka katika faida unazozipata kwenye biashara zako. Mengi angekuwa na biashara ndogo ndogo wallahi ningeamua kumuunga mkono kwa kuuza bidhaa zake. Bidhaa za Mo na Azam zimejaa kila kona nchini, lakini mrejesho hakuna zaidi ya ule wa kiuchumi kwamba ametengeneza ajira. Hawa matajiri wengine wanaona kitu cha maana kuchangia kwenye michezo kuliko kugusa roho za watu. Kwa kweli Mzee Mengi anapaswa kuungwa mkono kwa kila jambo.



Wee jamaa inaonekana ni mdini sana, hoja haina uhusiano na Dini lakini umevutia vutia mpaka umeingiza udini wako hapo.

Chuki binafsi kwa hao matajiri imekufanya usione wema wao hata kile wanachokitoa ktk michezo umeona hakiendi kuwasaidia wanajamii wenye roho za binadamu kama hao uliowataja anaowasaidia Mengi huko mashuleni/Mahospitalini, kwako wewe wanamichezo sijui unawaona wanyama au wadudu??
Ilikuwa ni jambo rahisi tu kufikiri, kama Mengi anasaidia ktk Afya na Elimu. Na hao wengine wanasaidia ktk michezo basi ni jambo jema kwani matajiri wetu wamejigawa vizuri ktk kusaidia jamii zetu. Kwamba mtu akitoka uwanjani akiwa majeruhi ataenda hospital, kesho asubuhi mwanae ataenda shuleni hivyo wote wanapaswa kupongezwa bali wajitahidi zaidi..!!
 
Back
Top Bottom