Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

kajifunze kwanza uandishi ndo urudi.
 
Naye kitendo cha kuwa katika hiyo redio hana tofauti na hao watangazaji wengine wa hiyo redio
 
Nadhani kati ya watangazaji wenye vipaji na sauti waliobaki kwenye hiyo radio ambao wanaweza kutangaza international level ni Maestro pekee,
 
data yani inaelekea wewe ni kati ya wasiokosa leo tena
 
She deserves a serious media house and BBC is the right place for her.
 
Mbona sura siyo yake tafuta nyingine bwana huyu mama huwa mzuri Sana sahiii kama anatumbuliwa usaa
 
Badoo mtu wangu wa nguvu Millard Ayo!! Hongera Regina..ntaimiss saut yako kwenye power breakfast...!saa 12
 
Kabla ya kushine kwe maredio ....ameuza sana mafuta ya taa pale Makuburi pembeni ya RC ...Mungu amjalie heri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom