Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Hivi hujapata kumsikia braza kaka mmoja pale anaitwa Milad Ayo, hutanganza sports nuzktk Habari ITV ama vipindi vingine radio 1.
ahaaa...kumbe ni Milad mimi nilishangaa Miradi ni nani
Hivi hujapata kumsikia braza kaka mmoja pale anaitwa Milad Ayo, hutanganza sports nuzktk Habari ITV ama vipindi vingine radio 1.
Greener pastures mkuu!
Ila Mwalekwa na busara zake pale sijui kama atakaa bse pale wanaitajika watu wenye mzaha mzaha as nilishawai fanya kazi apo enzi za akina Amina Chifupa
Umesema kweli. Mi nina establish media house yangu mikoani hapa nipeni contact zake mtasikia kaja kwangu.
mi sipati hata mstuko, na maswala ya kawaida kazini, labda kama mtu ni muoga wa changamoto, na kwa WATANZANIA wenzangu , tusipende kudumu kwenye ajira moja miaka 30, lazima tuwe tunapenda mazingira mapya na changamoto mpya.
ITV/radio one walimpata Regina Mwalekwa toka Radio Tumain, na hadi leo Radio Tumaini inapasua anga,
REGINA safi sana, pale clouds, KUNA VILAZA WENGI WA KAZI HUENDA AKAWA MKUFUNZI WAO, na kwa Radio one , huo ni wakati wakusonga mbele, na kama mna majungu ndani yenu mjisafishe.
Hata mimi hapo ndo ninapopata shaka, labda kama Clouds Media wanataka kubadili strategy yao!! Kwa ilivyo sasa ni bora usikilize Radio Uhuru FM (inayomilikiwa na CCM) kuliko Clouds FM.
Jamaa wa Clouds especially Ephrahim Kibonde, Gerald Hando na Gadner wamekuwa kama nyumba ndogo ya Mkuu wa Kaya!![/QUOTE]
duh ....
Hata mimi hapo ndo ninapopata shaka, labda kama Clouds Media wanataka kubadili strategy yao!! Kwa ilivyo sasa ni bora usikilize Radio Uhuru FM (inayomilikiwa na CCM) kuliko Clouds FM.
Jamaa wa Clouds especially Ephrahim Kibonde, Gerald Hando na Gadner wamekuwa kama nyumba ndogo ya Mkuu wa Kaya!!
Hata mimi hapo ndo ninapopata shaka, labda kama Clouds Media wanataka kubadili strategy yao!! Kwa ilivyo sasa ni bora usikilize Radio Uhuru FM (inayomilikiwa na CCM) kuliko Clouds FM.
Jamaa wa Clouds especially Ephrahim Kibonde, Gerald Hando na Gadner wamekuwa kama nyumba ndogo ya Mkuu wa Kaya!!
Namkumbuka sana Mike Roles (wa tatu kuanzia kushoto, aliyekaa chini), aliyekuwa MD wa kwanza wa ITV/Radio 1. Jamaa alikuwa KICHWA, lakini ali-resign na kutoa 24-hours notice, na mshahara wao wa mwezi mmoja akarudisha! Hakupenda mzaha! Ukitaka kisa chake, nitumie PM.
Jamaa alinibembeleza sana nifanye kazi nao, nilikataa, sipendi majungu, visa, visanga, ndumba, n.k.! Ukitaka kufanya kazi ITV/Radio 1, uwe na roho ngumu kama ya paka! We unadhani ni nini kilichowatimua Charles Hillary, Julius Nyaisanga, Mikidadi Mahmoud na wengineo? Kuondoka kwa Regina Mwalekwa hakunishangazi. Kwanza naona kachelewa!
au ulisikia njogopa?
Kwa nini?Mahija Zayumba nae kawapa 24 hours notice! Breaking News