Ni kweli ni jambo la kusikitisha sana,lakini inapotokea makosa lazima tuangalie tumekosea wapi ili marekebisho yafanywe na lisije tokea jambo kama hili tena.Mimi nina maswali kadhaa:
RIP Regia Mtema
- Huyu dada alikuwa ni mlemavu wa mguu na bunge limempatia gari kwa ajili yake la mkopo,bunge halikuweza kuconsider hali yake na kumpatia gari special kuendana na hali yake.
- Pili wabunge huwa wanapewa allowance ya madereva, ili waweze kupata madereva ambao ni professional kwa kazi yao ilikuwaje mbunge wetu akaendesha hilo gari mwenyewe?
- Sheria ya nchi inasemaje katika uendeshaji wa magari halihaji mtu unaulemavu?
RIP Regia Mtema