kunani tena.
Kwetu hairuhusiwi kabisa kuiweka maiti siku zote hizo. Mtu akifariki tu jambo la kwanza ni kumsitiri na kumzika. Hakuna zaidi.
Ok poleni sana
Mmmmmh..,kweli hata kukupa jibu unalostahili naogopa sababu unaweza kujibu na kuwaongezea watu machungu..ila asante kwa
pole yako,kumbe wewe kama mwana JF haujauzunka au sio msiba wa kiongozi wako.!!!!!!!!.