Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.


RIP Regia.
 
I believe hapo ni kituo cha polisi sio ajari iliyosababishwa na gari tatu kugusana. RIP Regia, we will miss you!!
 
Poleni wanaJF wenzangu kwa msiba huu mzito. R.I.P dada Regia
 
gari yake imeg0ngana na lori,alipokua akijaribu kulipita lori lingne alilokua akiongozana nalo

Hapana mkuu alipo kuwa ana overtake alikosea timingn ghafla akaona gari mbele yake ikabidi ahame barabarani na kusababisha gari kupinduka
 
Ni kweli tulikupenda, tunakupenda na tutaendelea kukukumbuka dada yetu mpenzi, umetutoka kwenye kipindi tulichokuhitaji zaidi... ama kweli hili ni pigo.... hii ilikuw ni nyota ya alfajiri ambayo ndo kwanza ilianza kung'ara na sasa imezima ghafka kwa upepo wa ajali... kwakweli nimeghafilika mno na im in hot pain, bt I wont blaim any one 2this instead I praise the name of the All-Mighty GOD.. 4 HE MUST HAVE A REASON 4THIS... R, I. P Regia...
 
rest in peace dada regia msiba wako unanihusu sana mimi na familia yangu na watz kwa ujumla
 
Hapana mkuu alipo kuwa ana overtake alikosea timingn ghafla akaona gari mbele yake ikabidi ahame barabarani na kusababisha gari kupinduka
alipokuwa anaovertake,aliyekuwa mbele hakumuonyesha mbele kuna gari?Inasikitisha sana,
 
Mhe Regia alikuwa na dada ambae alimsaidia kazi zake ndogondogo,ambae walikuwa wote nae amefariki mida hii,yeye alihamishiwa Muhimbili,idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali imefikia wawili sasa.baada ya taarifa hiyo hapa nyumbani palipo na msiba watuwote walijawa na simanzi.
 
Kweli binadamu Duniani tunapita, kama mtu saa 5 kamili tulikuwa nae na 5 na robo hatupo nae Mungu amoe pumziko la milele
 
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:RIP REGIA MTEMA NIMEBAKIA MDOMO WAZI
 
Sad news,maneno hadi yanakosekana
 

Mkuu hayo maswali mimi mwenyewe nimejiuliza nimekosa majibu, mpaka hadi najiuliza kwa nini aliamua kuendesha mwenyewe, kweli kifo sometimes huwa kinatuita sisi wanadamu.
 
RIP REGIA. uendeshaji wetu utaimaliza taifa, mpaka lini au mpaka afe nani tena ndio tujirukebishe?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…