Kama ni kuchanganyikiwa leo ndo nimechenganyikiwa baada ya kupata radio one breaking news, eeeh Mungu mbona imekuwa hivi jamani?
Regia mpenzi tulikupenda sana lakini Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi, ni habari ambayo mtu unaweza shindwa kusadiki lakini ndio ukweli wenyewe, poleni sana familia ya Regia, poleni sana wana JF na watanzania wote kwa ujumla.
Ttutakumiss sana Regia, Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe