Aiseeeeeeeee hapa kuna mkono wa sisiemu,haiwezekani hapa kuna mkono wa mafioso wa sisiemu,haiwezekani ni juzi juzi tu alikusanya kero mbali mbali wakakinukishe bungeni sasa sisiemu wanafanya nini hapa???? Yani wote wamepona kasoro yeye tu,wassup? Mkono wa mtu hapa