alikuwa anaovertake gali lingine. alikuwa anaendesha gari aina ya Landcruser t296bfm ambalo ni mali yake. gari imepinduka mala tatu.
hakugongana na mtu mwingine bali alishindwa kuicontrol gari na kuingia polini. majeruhi wengine waliokuwa kwenye gari akiwemo mama yake mzazi ni;
:roger abdallah
😛aulina
:simon
:bernedeta
😛eter
raurence. wa saba hajajulikana jina. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. amina.
source itv. Mia