Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
ndo naskia apa. Nimeishiwa nguvu aisee ni juzi alikuwa akitueleza mafanikio yake akiwa mbunge. Imeniuma sana. RIP REGIA
 
Ooh God, Yaani.... mimi nimeumia sana, maana si uongo kuna kitu nilitaka kumwambia huyu marehemu.... Mungu akulaze mahali pema poponi ameni.
 
Mungu wangu weeeeee,da inaniuma sana na machozi yananitoka kwani juzi tu dada kaleta uzi wake tukaanza kuuchangia na kumpa ushauri mbalimbali,RIP hon Regia
 
Kifo cha gafla kinauma sana,nawapa pole familia ya Regia Mtema, pamoja na Chadema na members wote wa Jf.
 
Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA Mh.Regia mtema amefariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea Ruvu darajani.Poleni makamanda.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina.source Brekn news radio one.
 
Mkuu Filipo.

Wewe alikupa like mbili tu mwenzako kanimwagia malike kibao.Duh wakati mwingine ukiyafikiria maisha unashindwa kuelewa kwanini Mungu katuumba.Mheshimiwa Regia ni mmoja ya wabunge vijana walionyesha njia hakika CDM na taifa limeondokewa na mwanamapinduzi mkubwa.


 
Poleni wafiwa,Dada Regia tutakukumbuka daima kwa kupigania Haki za wanyonge.
 

Verry sad!Japo kifo hakiepukiki lakini nimeshangazwa na yeye kuendesha gari huku ni Mlemavu wa mguu.WanaJF nisaidieni hiyo gari yake ilikuwa maalum kwa walemavu?
 
Wazuri hawadumu Mungu apumzishe mahala pema peponi! Hope tutakutana naye, maana njia yetu ni moja lakini kutangulia kunaumiza walio baki! Pigo kubwa ka CDM!
 
chadema pale kilombero wekeni mtu wa kumrith haraka sana'Regia angechukua jimbo lile 2015'tukaze mwendo na maisha yaendelee mbele kwa kuwa Mungu yuko upande wetu
 
am i crying?somebody give me some tissue,.it's confirmed..we lost a sister and mother lost a daughter.
 
We acha kutuvurugia siku bana utani mwingine haufai.
 
RIP Kamanda wetu.ulichokuwa unakipigania hakika kitafanikiwa.
 
duh!!!!.............
Nimeishiwa nguvu......this is sad.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…