Habari pple,,,,,,,
Watu hua wanakua na tabia tofauti tofauti kutokana na malezi,mazingira aliyokulia may be??but all in all mambo tunayofanya na tabia zetu hua zinakuja kutokea kwa watoto wetu ama kizazi kinachofuatia,,mnakubaliana na mimi,??sio watoto wote watachukua tabia zako hapana lakini at least mmoja kati ya hao atareflect mambo uliyokua unayafanya wkt wako eg ulevi,,uzinzi,,upole,muongeaje,,jeuri nk.,,Nlishasikia pia sanyingine mtoto aliepewa jina la babu ama bibi wanasema anakua na tabia za yule mtu,,,,,,,,,Then mtt anapofanya yale ambayo yankuchukiza unalaumu nakushangaa huyu mtt ametoa wapi tabia hizo coz ulishasahau uliyoyafanya nyuma.
So pple lets watch our doings na watoto wetu wasije wakafanye yale ambayo hayatatupendeza..
Watu hua wanakua na tabia tofauti tofauti kutokana na malezi,mazingira aliyokulia may be??but all in all mambo tunayofanya na tabia zetu hua zinakuja kutokea kwa watoto wetu ama kizazi kinachofuatia,,mnakubaliana na mimi,??sio watoto wote watachukua tabia zako hapana lakini at least mmoja kati ya hao atareflect mambo uliyokua unayafanya wkt wako eg ulevi,,uzinzi,,upole,muongeaje,,jeuri nk.,,Nlishasikia pia sanyingine mtoto aliepewa jina la babu ama bibi wanasema anakua na tabia za yule mtu,,,,,,,,,Then mtt anapofanya yale ambayo yankuchukiza unalaumu nakushangaa huyu mtt ametoa wapi tabia hizo coz ulishasahau uliyoyafanya nyuma.
So pple lets watch our doings na watoto wetu wasije wakafanye yale ambayo hayatatupendeza..