Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Vyanzo vinaeleza kwakuwa Watanzania wamekubaliana kuchukua malipo yao katika umri wa miaka 55 au 60 kwa lazima basi wafanyakazi wengi wa NSSF watapunguzwa katika ile hali ya kupunguza gharama za uendeshaji.
Pia wafanyakazi watakao punguzwa ni wale waliolikisha mapema taarifa za kupitishwa kwa sheria mpya mapema na wenye mrengo ule wa kuiwajibisha Serikali.
Vita ni vita mura hata mbuzi hukimbia
Pia wafanyakazi watakao punguzwa ni wale waliolikisha mapema taarifa za kupitishwa kwa sheria mpya mapema na wenye mrengo ule wa kuiwajibisha Serikali.
Vita ni vita mura hata mbuzi hukimbia