Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Sheria ya mwanzo iliyounda NSSF ilisisitiza ni marufuku kwa fedha za michango ya washirik kuwekezwa katika miradi isiyo na kinga ya Serikali. Miradi ya kibiashara ikifilisika fedha za washiriki inapotea. Kwa hiyo fedha za michango zilikuwa zinawekezwa katika Goverment securities e.g Treasury Bills na Goverment long term stocks.
Kwa hiyo ni kule kukiuka haya maagizo ya guarantee kumefanya NSSF ikaribie kufilisika. Sio tu kwamba wafanyakazi watapunguzwa, bali wale wanaotegemea kulipwa fedha zao za pensheni kwa maisha yao ya uzeeni wamepoteza.
Hii italeta mlipuko mkubwa wa vuguvugu la mageuzi nchini. Nafikiri kitakachofanyika ni serikali kuingiza pesa ili wafanyakazi wa hilo shirika waendelee kulipwa hadi baada ya uchaguzi 2015 ili kusiwepo na kitu cha ku-instigate huo mlipuko wa madai pamoja na mageuzi.