Redundancy kubwa kutua NSSF/PPF/GPF

Redundancy kubwa kutua NSSF/PPF/GPF

Mwaka 1999 PPF ilipunguza wafanyakazi wengi sana na kuwa na mkakati wa kuibadilisha kuwa ya kiteknilojia zaidi yenye wafanyakazi wachache, weredi, na walio elimu sahihi ya kuendesha mfuko huo. Zoezi hili liliendeshwa hadi mwishoni mwa 2001 ambapo hadi Mkurugenzi wa Utawala Bwana D Magwiza alipunguzwa. Katika zoezi hili PPF iliwalipa wafanyakazi wake mamilioni ya pesa yalifikia mapaka Tshs 200,000,000 kwa mtu mmoja

Baada ya hapo organisation structure ilionyesha wafanyakazi wasiozidi 100.

Baada ya kuondolewa Mkurugenzi Mkuu wa wakati huo Bw. N Nsemwa na kuingia kijana rijali, W Erio, alianza kuajiri bila mpangilio na kufikia hatua ya kugombana na Mkurugenzi wa Utawala Marehemu Osca Mwachang'a na kuendelea kugombana na aliyekaimu nafasi hiyo baada kufariki Mwachang'a. Huyu aliyekaimu aliandamwa na hatimaye Bwana Erio akamfukuza kazi bwana Emanuel Kakuyu kwa kumzushia uongo (PCCB fanyieni kazi na hili).

Kutoka idadi tarajiwa ya wafanyakazi wasiozidi 100 waliopendekezwa na wataalamu wa PricewaterhouseCooper mwaka 1999, Bwana Erio kwa nia ya pendezesha na kujaza watoto wa vigogo(eg wa Musiba, lumbanga, Mbega, Jaji Kileo, Jaji Maina, Warioba, Anna Mkapa nk) idadi ilifika karibu 300 na kulazimisha kufukuza wapangaji PPF house wa ghorofa ya nane, ya tatu, ya kwanza na Mezanine ambazo zilikuwa zimekodishwa ili wafanyakazi wapate sehemu za kukaa na kufanya kazi.

Kwa kuwa uajiri ulikuwa sio kwa manufaa ya mfuko, imefikia wakati sasa wamejaa mno na sasa wametangaza kupunguza wafanyakazi (redundancy) na wanaopunguzwa watalipwa kila mtu kati ya Milioni 90 na Milioni 300 ambazo kama sio uajiri usiokuwa wa kiadilifu mfuko usingeingia gharama hizi

PCCB naomba mchunguze sababu za kuajiri watu wengi hivyo katika kipindi cha miaka mitatu tu (2009 hadi 2011) na sasa 2012 wanaliingiza shirika kwenye gharama za kupunguza na kutumia MABILIONI ya shilingi kwa tamaa zao binafsi.

PCCB iichunguze Management ya PPF kati ya 2007 na sasa na bila kuiacha BODI hasa iliyokuwa chini Kaimu Mwenyekiti wa Bodi Dr, Kapalata. Bodi hii lazima ijibu namna ilivyotumia madaraka yake vibaya.
Pole Serikali, kwenye zoezi hili la kuunganisha mifuko, ndipo mtajua madhara ya PPF kuzidisha wafanyakazi kwa sababu zilizokuwa si za msingi.

A lot of money itatumika kulipa kwenye kuwapunguza.
 
Pole Serikali, kwenye zoezi hili la kuunganisha mifuko, ndipo mtajua madhara ya PPF kuzidisha wafanyakazi kwa sababu zilizokuwa si za msingi.

A lot of money itatumika kulipa kwenye kuwapunguza.
Unaichukia sana PPF na uongozi wake inaonekana ulifukuzwaga PPF..Kwa taarifa yako tu mfuko imara ni PPF kuzidi mifuko yote ata kiukaguzi
 
Unaichukia sana PPF na uongozi wake inaonekana ulifukuzwaga PPF..Kwa taarifa yako tu mfuko imara ni PPF kuzidi mifuko yote ata kiukaguzi
Lazima wewe ni mwizi wa mali za umma ndio maana unashabikia wezi.

Kamwe siwezi furahia ufisadi wa PPF.

Hivi Rais Magufuri anavyo wachukia wezi na mafisadi majizi naye amefukuzwa?
 
Hii mifuko ya jamii hujiingiza ktk miradi mikubwa na isio na tija kwa wanachama ili mradi viongozi wanapata 20% ktk miradi hiyo. ndio maana wastaafu akiba zao huchelewa kupatikana na ni kidogo sana.
 
Unaichukia sana PPF na uongozi wake inaonekana ulifukuzwaga PPF..Kwa taarifa yako tu mfuko imara ni PPF kuzidi mifuko yote ata kiukaguzi
uzuri wa ppf uko wapi? unajua mstaafu anapata nini ktk huu mfuko baada ya utumishi wake?
Unajua wafanyakazi wa ppf wanavyolipwa fedha nyingi pindi wao wanapostaafu?
Unajua miradi mingi ya ppf ilivyo ya hasara?
Kaa kimya na funga domo lako chafu lenye harufu ya kinyesi.
 
Lazima wewe ni mwizi wa mali za umma ndio maana unashabikia wezi.

Kamwe siwezi furahia ufisadi wa PPF.

Hivi Rais Magufuri anavyo wachukia wezi na mafisadi majizi naye amefukuzwa?
Usikurupuke kwa ajili ya stress zako...PPF ndio mfuko ambao upo stable kwenye balance sheet daily PPF inaonekana uliharibu au ulikosa cheo unahangaika daily Kuchafua Management ya PPF
 
Tuli
uzuri wa ppf uko wapi? unajua mstaafu anapata nini ktk huu mfuko baada ya utumishi wake?
Unajua wafanyakazi wa ppf wanavyolipwa fedha nyingi pindi wao wanapostaafu?
Unajua miradi mingi ya ppf ilivyo ya hasara?
Kaa kimya na funga domo lako chafu lenye harufu ya kinyesi.
Tulia kitendo cha kutokulipa mafao mengi hakiusian na stability ya mfuko...elimu muhmu kwenye haya masuala...Unafungua ID kibao ksa PPF...kwa taarifa yako mfuko ambao miradi yake ni white elephant ni NSSF ujue tu...taja mradi wa hasara wa PPF
 
100% wapunguzwe tu ili nao waonje utamu wa kukaa bila kazi na kusubiri mafao mpk miaka 55 au 60!
 
Back
Top Bottom