Hii radio radio si ndo ile ilipigwa fine kwa kuhamasisha sijui kuushabikia ushoga? Kwanini bado mnawasikiliza promoters wa ushoga?
Hivi mfano kama ungetazama tu hii thread bila ya kuchangia kutokana na kutokuwa na point ya maana, ingekuwaje??Vyoo nya kukaa ndiyo vina harufu nzuri?
Nilikuwa nasikiliza Jahazi sasa hivi,yeye na Musa wanajadili issue ya redbregade.Musa ana arguments nzuri sana kuwa ni bora serikali ikakaa na chadema wakajadili kuhusiana na hili kwani vitisho havikuwahi kusaidia.Kibonde yeye anapongeza matamko hayo
Sikuwahi kujua huyu jamaa anachukiwa hivi.
Nilikuwa nasikiliza Jahazi sasa hivi,yeye na Musa wanajadili issue ya redbregade.Musa ana arguments nzuri sana kuwa ni bora serikali ikakaa na chadema wakajadili kuhusiana na hili kwani vitisho havikuwahi kusaidia.Kibonde yeye anapongeza matamko hayo
In most cases Mussa Hussein anakuwa na arguments zinazobeba mawazo ya wengi mtaani. Ila Kibonde ni MAJANGA! Huwa hafikiri kabla ya kuongea.