Tundu lisu anaposema wasaliti wa nchi hii lazima washughulikiwe je ni kweli sakata la maknikia yaliyisemwa na jpm yalikuwa ya kweli?

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Katika mahojiano na cloud media lisu ameongea kwamba hayati dr.john pombe magufuli raisi wa awamu ya tano alitamka akiwa ikulu akizungumzia swala la maknikia kuwa wasaliti wa nchi lazima washughulikiwe na lisu anasema baada ya hotuba ile alipigwa risasi na watu wasiojulikana na kwasasa anataka kuaminisha umma kwa kumtuhumu mojakwamoja raisi wa awamu ya tano kuwa ndiye mhusika aliyeratibu tukio hilo kitu ambacho hakina ukweli wowote katika mazingira ya ushahidi.

Hata hivyo wengi tumejiuliza lisu anaposema kwamba hotuba ile ilichangia kupigwa kwake risasi je na sisi tuamini kuwa ni kweli alikuwa msaliti katika sakata la makinikia? maana tuliowengi tunasikia kwamba katika simu zake alikuwa akihangaika sana kwa kutuma meseji kwa mwanyika ili apate taarifa za maknikia bahati nzuri serikali kwa kuwa na mkono mrefu wakajuwa anayehujumu swala hilo la maknikia , Na pamoja na yote hayokujulikana kuwa lisu anafanya hayo hakuna mtu au kikundi chochote kilichomfuata kuhusiana na hilo.. Nakumbuka alikuwa akiwaambia umma kuwa tutashitakiwa Miga.

Lisu tunaomba uachane na tabia ya kuchafua watu kwani ushahidi wa mojakwamoja huna na pia kumchafua magufuli usifikri ndiyo kete kubwa katika siasa zako kuweza kuwa na ushawishi kama kuna baadhi ya ccm wamekutuma kufanya hayo basi wamekupotosha pakubwa , jpm alishaondoka hata kama aliumiza upinzani katika siasa yeye alishaondoka hawezi kuonekana tena. jikiteni kwenye kujenga hoja wananchi wawaelewe siyo kila media jpm jpm jpm muacheni apumzike chuki hizo mlizonazo hazitowasaidia chochote katika siasa maana wananchi waliowengi walimwelewa hata msemeje wanawachora tu


Namalizia kusema kwamba kwa mahojiano ya lisu yakusema kwamba hotuba ya jpm ilipelekea kushambuliwa kwake basi yeye mwenyewe inaonesha alikuwa msaliti wa taifa katika sakata la maknikia na ACCACIA .
 
Kwanza ishu ya makinikia ilikua kweli au kanyaboya? Tuanzie hapo kwanza ndio tuone usaliti wake.
1664915659087.jpg
 
Katika mahojiano na cloud media lisu ameongea kwamba hayati dr.john pombe magufuli raisi wa awamu ya tano alitamka akiwa ikulu akizungumzia swala la maknikia kuwa wasaliti wa nchi lazima washughulikiwe na lisu anasema baada ya hotuba ile alipigwa risasi na watu wasiojulikana na kwasasa anataka kuaminisha umma kwa kumtuhumu mojakwamoja raisi wa awamu ya tano kuwa ndiye mhusika aliyeratibu tukio hilo kitu ambacho hakina ukweli wowote katika mazingira ya ushahidi.

Hata hivyo wengi tumejiuliza lisu anaposema kwamba hotuba ile ilichangia kupigwa kwake risasi je na sisi tuamini kuwa ni kweli alikuwa msaliti katika sakata la makinikia? maana tuliowengi tunasikia kwamba katika simu zake alikuwa akihangaika sana kwa kutuma meseji kwa mwanyika ili apate taarifa za maknikia bahati nzuri serikali kwa kuwa na mkono mrefu wakajuwa anayehujumu swala hilo la maknikia , Na pamoja na yote hayokujulikana kuwa lisu anafanya hayo hakuna mtu au kikundi chochote kilichomfuata kuhusiana na hilo.. Nakumbuka alikuwa akiwaambia umma kuwa tutashitakiwa Miga.

Lisu tunaomba uachane na tabia ya kuchafua watu kwani ushahidi wa mojakwamoja huna na pia kumchafua magufuli usifikri ndiyo kete kubwa katika siasa zako kuweza kuwa na ushawishi kama kuna baadhi ya ccm wamekutuma kufanya hayo basi wamekupotosha pakubwa , jpm alishaondoka hata kama aliumiza upinzani katika siasa yeye alishaondoka hawezi kuonekana tena. jikiteni kwenye kujenga hoja wananchi wawaelewe siyo kila media jpm jpm jpm muacheni apumzike chuki hizo mlizonazo hazitowasaidia chochote katika siasa maana wananchi waliowengi walimwelewa hata msemeje wanawachora tu


Namalizia kusema kwamba kwa mahojiano ya lisu yakusema kwamba hotuba ya jpm ilipelekea kushambuliwa kwake basi yeye mwenyewe inaonesha alikuwa msaliti wa taifa katika sakata la maknikia na ACCACIA .
Sukuma Gang oneni hata aibu kidogo hivi hamna kitu cha kujadili kabisaaa 24/7 mnamuwaza na kumjadili Lissu tu?
 
Serikali ambayo mtu anapigwa risasi 16 hadharani na haina nia ya kufanya uchunguzi inastahili kuondolewa madarakani kwa nguvu ya umma
 
kama kanya boya je ACCACIA ipo wapi ! na kama haipo serikali iliingia ubia na kampuni gani ya madini

..kama Magufuli alikamata makinikia ya Accacia kwanini mazungumzo ya usuluhishi alikuwa akifanya na wakubwa wa kampuni ya Barrick?

..Prof.Kabudi ametoka hadharani na kusema madai yalikuwa ni kanyaboya. Kwa kifupi amethibitisha alichokuwa akikisema Tundu Lissu tangu awali.
 
..kama Magufuli alikamata makinikia ya Accacia kwanini mazungumzo ya usuluhishi alikuwa akifanya na wakubwa wa kampuni ya Barrick?

..Prof.Kabudi ametoka hadharani na kusema madai yalikuwa ni kanyaboya. Kwa kifupi amethibitisha alichokuwa akikisema Tundu Lissu tangu awali.
Mbona kabudi mlikuwa hamumwamini baada ya kumuita jpm mungu leo hii imekuaje mumwamini mtu ambaye anaishi kwa kutukuza binadamu.
 
Mbona kabudi mlikuwa hamumwamini baada ya kumuita jpm mungu leo hii imekuaje mumwamini mtu ambaye anaishi kwa kutukuza binadamu.

..na wewe si ulikuwa unamuamini kabudi?

..sasa anapokwambia madai yalikuwa kanyaboya kwanini humuamini?

..kabudi mwenyewe alitaka kujiuzulu katikati ya majadiliano na barrick. Naamini ni kwasababu alichoka kutetea uongo ktk za magufuli.
 
Mbona kabudi mlikuwa hamumwamini baada ya kumuita jpm mungu leo hii imekuaje mumwamini mtu ambaye anaishi kwa kutukuza binadamu.

..accacia = barrick + 30% wawekezaji.

..hao wawekezaji au wanahisa wameuza hisa zao ndio maana tumebakia na barrick.

..ukawaeleweshe na wenzako waliokuwa wakidanganywa na Magufuli.
 
Katika mahojiano na cloud media lisu ameongea kwamba hayati dr.john pombe magufuli raisi wa awamu ya tano alitamka akiwa ikulu akizungumzia swala la maknikia kuwa wasaliti wa nchi lazima washughulikiwe na lisu anasema baada ya hotuba ile alipigwa risasi na watu wasiojulikana na kwasasa anataka kuaminisha umma kwa kumtuhumu mojakwamoja raisi wa awamu ya tano kuwa ndiye mhusika aliyeratibu tukio hilo kitu ambacho hakina ukweli wowote katika mazingira ya ushahidi.

Hata hivyo wengi tumejiuliza lisu anaposema kwamba hotuba ile ilichangia kupigwa kwake risasi je na sisi tuamini kuwa ni kweli alikuwa msaliti katika sakata la makinikia? maana tuliowengi tunasikia kwamba katika simu zake alikuwa akihangaika sana kwa kutuma meseji kwa mwanyika ili apate taarifa za maknikia bahati nzuri serikali kwa kuwa na mkono mrefu wakajuwa anayehujumu swala hilo la maknikia , Na pamoja na yote hayokujulikana kuwa lisu anafanya hayo hakuna mtu au kikundi chochote kilichomfuata kuhusiana na hilo.. Nakumbuka alikuwa akiwaambia umma kuwa tutashitakiwa Miga.

Lisu tunaomba uachane na tabia ya kuchafua watu kwani ushahidi wa mojakwamoja huna na pia kumchafua magufuli usifikri ndiyo kete kubwa katika siasa zako kuweza kuwa na ushawishi kama kuna baadhi ya ccm wamekutuma kufanya hayo basi wamekupotosha pakubwa , jpm alishaondoka hata kama aliumiza upinzani katika siasa yeye alishaondoka hawezi kuonekana tena. jikiteni kwenye kujenga hoja wananchi wawaelewe siyo kila media jpm jpm jpm muacheni apumzike chuki hizo mlizonazo hazitowasaidia chochote katika siasa maana wananchi waliowengi walimwelewa hata msemeje wanawachora tu


Namalizia kusema kwamba kwa mahojiano ya lisu yakusema kwamba hotuba ya jpm ilipelekea kushambuliwa kwake basi yeye mwenyewe inaonesha alikuwa msaliti wa taifa katika sakata la maknikia na ACCACIA .
Magufuli alikuwa kichaa tu. Usipokubaliana na mawazo yake hata yale potofu anakasirika na anaweza kufanya lolote. Hiyo ni hulka ya madikteta wote Duniani.

Kimsingi Lissu hakuwa MSALITI bali alikuwa anamuambia Magufuli tujitoe kwenye mikataba ya kimataifa "systematically" kwa kuwa tulikuwa tumeiridhia hapo zamani. Na Magufuli kwa kuwa ni mtu wa kukurupuka na kutaka MASIFA aliona Lissu anamchelewesha. Ndiyo akaona dawa ni kumuua Lissu na kumzika Ikungi haraka haraka kabla mashabiki wake hawaja andamana.

Hoja ya Lissu ni kwamba madini mengi hatuibiwi physically Bali kwa mikataba tuliyosaini.

Tundu Lissu mnaye mkebehi kwa taarifa yenu ndiye authority ya Sheria za Madini Tanzania pamoja na Mholanzi mmoja.

Hata tume ya Prof Osoro na Prof Mruma, Judge Bomani hamna hata mmoja wao ambaye hajanukuuu machapisho ya Tundu Lissu.

Mwanafunzi au mtafiti yeyote atakayefanya tafiti, iwe ya Masters au PhD kwenye eneo la Sheria za mazingira na madini, atakapofika kwenye chapter ya Literature Review hawezi kuacha kumnukuu Tundu Lissu. Ukikwepa kumnukuu Tundu Lissu na ukapata hiyo Cheti yako utakuwa hujawiva wewe na Supervisor wako.

Kimsingi kabla ya Tundu Lissu hamna Mtanzania alikuwa ameandika kwa undani juu ya Sheria za madini zinavyonufaisha nchi za kigeni kuliko wazawa. Na mapendekezo ya nini kifanyike ambayo ndiyo yametawala kwenye recommendations za Tume ya Bomani, Osoro na Mruma
 
kama kanya boya je ACCACIA ipo wapi ! na kama haipo serikali iliingia ubia na kampuni gani ya madini
Kwakifupi dingi alibumba bumba mambo Kwa kujua ujinga wetu Watanzania Lisu alikua sahihi kwenye Sheria ukizingatia Lisu katetea sana mambo ya migodi huko nyuma alikua anajua dingi anatutia kamba kisiasa au Ile Noah mwenzetu ulipata?
 
Back
Top Bottom