Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bruh, comment ya February unaiquote leo? Don't be emotional, ni mambo ya football tu.
Ni risiti tu mkuu usipanic.

Tuna risiti za mwasibu huu mwaka wa tatu tumezitunza seuze hii ya February.
 
Barca bingwa kenge nyie eti ubebe ubingwa kwa kumtegemea garasa Vinishazi na Lodrigo 🤣🤣🤣🤣
Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
 
Punda weupe yule president wenu anaroho ya kikatili sana amewafanyia dhuluma PSG hajarizika amerudia kwa Liverpool, Leverkusen amepita na Alonso wao. dili la Dean Huijsen tayari ashatia mkono KUBABABAKE. aya sasa leo naamka nakutana na habari za Franco Mastantuono kwamba kikao kishafanyika huko Argentina. kusema ukweli Mastantuono mukimchukua Mastantuono, Mastantuono jamaniiii. dah itaniuma sana. Razorblade
 
Punda weupe yule president wenu anaroho ya kikatili sana amewafanyia dhuluma PSG hajarizika amerudia kwa Liverpool, Leverkusen amepita na Alonso wao. dili la Dean Huijsen tayari ashatia mkono KUBABABAKE. aya sasa leo naamka nakutana na habari za Franco Mastantuono kwamba kikao kishafanyika huko Argentina. kusema ukweli Mastantuono mukimchukua Mastantuono, Mastantuono jamaniiii. dah itaniuma sana. Razorblade
Ni maboresho machache yenye umuhimu yanafanyika.
 
Nyie kenge hamna timu mmejaza magarasa tu. Siwapendi maisha yote
Nawachukia sana yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Mkuu ulichokiandika umekitoa wapi, umesahau kama barca anatatizo la kiuchumi?
Nyie na Rais wenu wa La Liga ndio mnajua hivyo sisi tunajua tuna pesa the summer of 2027 tunamleta kijana ,ni suala la muda tu
 
Punda weupe yule president wenu anaroho ya kikatili sana amewafanyia dhuluma PSG hajarizika amerudia kwa Liverpool, Leverkusen amepita na Alonso wao. dili la Dean Huijsen tayari ashatia mkono KUBABABAKE. aya sasa leo naamka nakutana na habari za Franco Mastantuono kwamba kikao kishafanyika huko Argentina. kusema ukweli Mastantuono mukimchukua Mastantuono, Mastantuono jamaniiii. dah itaniuma sana. Razorblade
Kwani wewe ulitaka hao wachezaji waende wapi Mkuu., acha na sie tufanye maboresho ya kikosi chetu, ili muweze kutuita kenge vizuri msimu ujao.
 
Bado Left Back na Play maker., sijui Alonso atakuwa anaenda na system gani ila tuna-uhitaji mkubwa sana kwa kiungo mchezeshaji.
Naona Wirtz bado hayuko tayari kutoka nje ya ujerumani, huenda angetufaa.

Kuhusu LB naona tetesi zinamuhusisha Alvaro Carreras, tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom