Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Hata mimi niliyekuwa kibanda umiza sura ya endrick haikunishawishi kabisa kupiga penati.Carlo Ancelotti: "Endrick alitakiwa kupiga penati ya mwisho (penati ya tano). Lakini pindi nilipomuangalia Endrick usoni, tuliamua kumchagua Rudiger kwa sababu Endrick alionyesha hali yakutojiamini."
Inaonekana Dogo ni fundi sana wa penalty huko mazoezini, ila mzee baada ya kumsoma machale yakamcheza akampa rudiger mzee wa butua butua.
Sometimes hauhitaji wajuzi tu ili kukupa ushindi unahitaji watu majasiri.