Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Screenshot_20250517_180250_X.jpg

Huyu dogo kazi za kikatili anaziweza?au ni kelele tu?!
 
Tulipaswa kuongeza nguvu sehemu zote kabla ya msimu kuanza ila Rais pamoja na Coacher walijiamini sana na kuamini kikosi kilichokuwepo.

Safari hii kama tunahitaji kurudi tukiwa bora zaidi hatunabudi kufanya usajili wa kueleweka.
Kwa jinsi team ilivyokuwa tulikuwa tunahitaji replacement ya Toni Kroos basi, ila majeruhi yaliyowakumba wachezaji wetu ndio yalituletea shida yote hiyo, na pia ile yali ya Ancelloti kuwa mgumu wa kufanya rotation.
Ila kupindi hiki tuna kila sababu ya kufanya usajili haswa kwenye upande wa ulinzi idara zote na kiungo mchezeshaji.
 
Kwa jinsi team ilivyokuwa tulikuwa tunahitaji replacement ya Toni Kroos basi, ila majeruhi yaliyowakumba wachezaji wetu ndio yalituletea shida yote hiyo, na pia ile yali ya Ancelloti kuwa mgumu wa kufanya rotation.
Ila kupindi hiki tuna kila sababu ya kufanya usajili haswa kwenye upande wa ulinzi idara zote na kiungo mchezeshaji.
Kabisa mkuu, ngoja leo tuone 4-4-2 ya Mbappe na Endrick hapo mbele.
 
Back
Top Bottom