Kiukweli huu ni mwanzo wa mwisho wa enzi. Sioni kama kuna maajabu Madrid inaweza fanya katika hii nusu iliyobaki na hata kumalizia msimu tunatoka kapa hapa.
Ukiachana na babu Carlo kuna kitu cha ziada hawa kina Vini, Mbappe, Rodrygo, Jude wanaweza fanya na kocha mwingine na labda tuseme ni kocha gani anaweza kufaa Madrid hii yenye pancha nyingi
nimekukubali sana hapo ulipomjumuisha na Camavinga, dogo ni mchezaji wa kawaida sana, anaimbwa lakin sio level za madrid ila bado kuna viazi hawataki kukubali, madrid ni ufundi mguuni + kazi sio lele mama kama Tchouameni
26 April Copa del rey final
Barcelona vs Real Madrid
11 May Laliga
Barcelona vs Real Madrid
Hizi game zote madrid tunapigwa
Ni wakati sahihi wa Don Carlo kupumzika maana hamna kipya kwake anategemea tu individual brilliant kwa key players
Madrid asipokua makini msimu huu Barca atamnyanyasa kwenye makombe yote. Sio emotional mkuu huu ndio uhalisia wenyewe timu haichezi kama ina waxhezaji wenye viwango na gharama kubwa. Rodrygo hata kudrible ameshindwa achilia mbali kupata on targetMkuu punguza kuwa emotional, mwaka juzi pia walikosa kombe mwaka jana wakababe.
Nilikua nafanya tafakari namna kina Ronaldo, Benzema walikua wanatumia uwezo wao kuibeba timu nyakati kama hizi. Leo hii sura za hawa vijana zinaonyesha kuridhika na kila kitu hawaoneshi njaa na uhitaji wa mechi husika. Inaumiza sana na hili shida inatokana na hawa jamaa kushinda makombe makubwa wakiwa na umri mdogo sana.ni ngumu sana mkuu, ukitizima aina ya uchezaji wao hao jamaa wanne inaonesha wakipata kocha wa high pressing style kama Klopp wanawzeza ku perform vizuri sana, ila taizo lao kubwa wote ni wavivu, na high pressing style haiwezi ku work kwa wachezaji wavivu.
👿View attachment 3307372
Hii ni good news,mabadiliko ya wachezaji sasa ndio kitu ifuate...tuna watoto wengi ila ni mafather tayar,wanakaba kwa macho na uwezo wao ni average,aje kocha asiyeangalia sura,atayewapa kauli yakiume wachezaji..pale mbele kwa Vin na Mbape lazima mmoja akubali kuwa Ronaldo mmoja Benzema,haiwezekani kila mmoja akataka kuwa CR7.
Yaan mpira umedundia mbali ..eti ndo limbappe linajirusha penalty za namna hii unazipata kwenye ligi ya nbc chini ya marefa kina kayoko ..mmezoea sana janjajanja hamna Leo out 😂
Madrid asipokua makini msimu huu Barca atamnyanyasa kwenye makombe yote. Sio emotional mkuu huu ndio uhalisia wenyewe timu haichezi kama ina waxhezaji wenye viwango na gharama kubwa. Rodrygo hata kudrible ameshindwa achilia mbali kupata on target
Nilikua nafanya tafakari namna kina Ronaldo, Benzema walikua wanatumia uwezo wao kuibeba timu nyakati kama hizi. Leo hii sura za hawa vijana zinaonyesha kuridhika na kila kitu hawaoneshi njaa na uhitaji wa mechi husika. Inaumiza sana na hili shida inatokana na hawa jamaa kushinda makombe makubwa wakiwa na umri mdogo sana.
kama madrid kuna pedri, inigo martinez na dani olmo sawa watachukuwaMadrid anakwenda kubeba Copa Del Rey
Tumeamua tu kuwazingatia hawa lakini Madrid kuna takataka nyingi sana mchezaji kama Vasquez, Garcia, Militao ,Endrick,Diaz na Guler wanafanya nini Madrid,
Kingine wachezaji quality madrid hawana consistent mfano Vini na Rodrigo hawawezi cheza miezi 2 consecutive kwa kiwango kile kile.