Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni wakati sahihi wa Don Carlo kupumzika maana hamna kipya kwake anategemea tu individual brilliant kwa key players
 
Ni Madrid wenyewe kuleta vyuma vya kazi, Jana Saka na Martinelli wote walikuwa wakirudi Hadi chini kabisa kukaba na imekuwa hivyo Kila siku Kwa arsenal, Sasa hivi mido ya Rice, Partey na Odegaard Iko compact sana na akili nyingi, Arsenal walikuwa hawatembei tu uwanjani Kila movement waliyofanya hata kama hawakuwa na mpira ilikuwa na maana.

Kilichoamua ni ubora wa Arsenal, hata mechi ingerudiwa mara kumi Bado Madrid angefungwa tu... Arsenal msimu huu Yuko Bora sana hivyo mara nyingi hufungwa Kwa ujanja ujanja na mpira wa kihuni huni, ukisema uende nao toe to toe kama ni mchovu hutoboi, mfanyie uhuni basi unamfunga...Subirini muone ikitokea Arsenal akakutana na Inter Milan, utaona jinsi mpira wa kihuni ulivyo na unavyochezwa.
 
Ukiachana na babu Carlo kuna kitu cha ziada hawa kina Vini, Mbappe, Rodrygo, Jude wanaweza fanya na kocha mwingine na labda tuseme ni kocha gani anaweza kufaa Madrid hii yenye pancha nyingi

ni ngumu sana mkuu, ukitizima aina ya uchezaji wao hao jamaa wanne inaonesha wakipata kocha wa high pressing style kama Klopp wanawzeza ku perform vizuri sana, ila taizo lao kubwa wote ni wavivu, na high pressing style haiwezi ku work kwa wachezaji wavivu.
 
nimekukubali sana hapo ulipomjumuisha na Camavinga, dogo ni mchezaji wa kawaida sana, anaimbwa lakin sio level za madrid ila bado kuna viazi hawataki kukubali, madrid ni ufundi mguuni + kazi sio lele mama kama Tchouameni

Moja ya tatizo kubwa la Real Madrid ya sasa ni kuwa timu imejaa overrated players. Wachezaji wa viwango vya kawaida ambao wanachukuliwa wa kiwango kikubwa kutokana na mafanikio ya walioyapata karibuni.
Carlo ame overachieve na hii timu, na ndio limemgaukia anaoneakanwa yeye kuwa eti haendeani na hao wachezaji. wachezaji ambao wengi wao before him they were nothing.
 
Mkuu punguza kuwa emotional, mwaka juzi pia walikosa kombe mwaka jana wakababe.
Madrid asipokua makini msimu huu Barca atamnyanyasa kwenye makombe yote. Sio emotional mkuu huu ndio uhalisia wenyewe timu haichezi kama ina waxhezaji wenye viwango na gharama kubwa. Rodrygo hata kudrible ameshindwa achilia mbali kupata on target
 
ni ngumu sana mkuu, ukitizima aina ya uchezaji wao hao jamaa wanne inaonesha wakipata kocha wa high pressing style kama Klopp wanawzeza ku perform vizuri sana, ila taizo lao kubwa wote ni wavivu, na high pressing style haiwezi ku work kwa wachezaji wavivu.
Nilikua nafanya tafakari namna kina Ronaldo, Benzema walikua wanatumia uwezo wao kuibeba timu nyakati kama hizi. Leo hii sura za hawa vijana zinaonyesha kuridhika na kila kitu hawaoneshi njaa na uhitaji wa mechi husika. Inaumiza sana na hili shida inatokana na hawa jamaa kushinda makombe makubwa wakiwa na umri mdogo sana.
 
Screenshot_20250417_153225_LiveScore.jpg

Hii ni good news,mabadiliko ya wachezaji sasa ndio kitu ifuate...tuna watoto wengi ila ni mafather tayar,wanakaba kwa macho na uwezo wao ni average,aje kocha asiyeangalia sura,atayewapa kauli yakiume wachezaji..pale mbele kwa Vin na Mbape lazima mmoja akubali kuwa Ronaldo mmoja Benzema,haiwezekani kila mmoja akataka kuwa CR7.
 
Jana nilijichanganya chaka nililoingia wakawa ni Arsenal watupu. Lahaulaaaa nilijutaaaa. Naishia kuwaota akina Ramos, Pepe, Banzema watu wazima wenzangu. Hawa kinda tuliojaza pale Madrid badooooo
 
View attachment 3307372
Hii ni good news,mabadiliko ya wachezaji sasa ndio kitu ifuate...tuna watoto wengi ila ni mafather tayar,wanakaba kwa macho na uwezo wao ni average,aje kocha asiyeangalia sura,atayewapa kauli yakiume wachezaji..pale mbele kwa Vin na Mbape lazima mmoja akubali kuwa Ronaldo mmoja Benzema,haiwezekani kila mmoja akataka kuwa CR7.
👿
 
Kosa ni kuweka hio GIF ama?
Yaan mpira umedundia mbali ..eti ndo limbappe linajirusha penalty za namna hii unazipata kwenye ligi ya nbc chini ya marefa kina kayoko ..mmezoea sana janjajanja hamna Leo out 😂
 
Tusiwalaumu Real kwani hata wangekuwa bora bado wangechezea rungu kipepe kutoka kwa Arsenal.
Jana Madrid walijitahidi sana lakini njo vile!

 
Xabi Alonso akiweka kambi tunarudi kwenye mstari tu, Ila Don Carlo ni mtu sana hii timu kafanya wonders sana na msimu huu pancha nyingi sana sema kongole kwa ze ganaz wameupiga mwingi sana hasa Bukayo yule ni wa kumdaka kabisa ale flank ya juu kule, Anyways twenzetuni hapa wanangu wa Madrid tuburudike na articles za kimpira


whatsapp.com

Pinkie Football Universe | WhatsApp Channel

Pinkie Football Universe WhatsApp Channel. Football contents (in Swahili) Fun, Knowledge and Exellence🧐 Extra-Football facts combined Our Universe. 11 followers
whatsapp.com
whatsapp.com
 
Madrid asipokua makini msimu huu Barca atamnyanyasa kwenye makombe yote. Sio emotional mkuu huu ndio uhalisia wenyewe timu haichezi kama ina waxhezaji wenye viwango na gharama kubwa. Rodrygo hata kudrible ameshindwa achilia mbali kupata on target

wengi wao ni overrated sana, kiuhalisia ni wachezaji wa viwango vya kawaida sana
 
Nilikua nafanya tafakari namna kina Ronaldo, Benzema walikua wanatumia uwezo wao kuibeba timu nyakati kama hizi. Leo hii sura za hawa vijana zinaonyesha kuridhika na kila kitu hawaoneshi njaa na uhitaji wa mechi husika. Inaumiza sana na hili shida inatokana na hawa jamaa kushinda makombe makubwa wakiwa na umri mdogo sana.

yah, mafanikio ya mapema yamewalevya sana
 
Tumeamua tu kuwazingatia hawa lakini Madrid kuna takataka nyingi sana mchezaji kama Vasquez, Garcia, Militao ,Endrick,Diaz na Guler wanafanya nini Madrid,

Kingine wachezaji quality madrid hawana consistent mfano Vini na Rodrigo hawawezi cheza miezi 2 consecutive kwa kiwango kile kile.

I couldn't agree more, mkuu.
 
Back
Top Bottom