Ukiachana na babu Carlo kuna kitu cha ziada hawa kina Vini, Mbappe, Rodrygo, Jude wanaweza fanya na kocha mwingine na labda tuseme ni kocha gani anaweza kufaa Madrid hii yenye pancha nyingi
ni ngumu sana mkuu, ukitizima aina ya uchezaji wao hao jamaa wanne inaonesha wakipata kocha wa high pressing style kama Klopp wanawzeza ku perform vizuri sana, ila taizo lao kubwa wote ni wavivu, na high pressing style haiwezi ku work kwa wachezaji wavivu.