pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Gooooooooooal...chumaaaaa...msumari wa mwisho babeki
Sasa Carlo hii Sub mbona haionekani kama ina akili...umemtoa Rodrigyo na sasa unamtoa Vin,nani wakupunguza hapo mbele..hii maana ake amekubali kurudi nyuma tushambuliwe tu,naona karidhika na draw..na tutapigwa kisirudi.
Hama hapo kwa shemeji upunguze chuki , dada ako usiku anashindwa kutoa miguno vizuri akichezea ukuniNawachukia sana kenge nyie na kwa bayern hamtoboi
Sisi tunawapenda watu Kama ww Utahama Sana, Buyern wenyew wachumba,Nawachukia sana kenge nyie na kwa bayern hamtoboi
GO TO HELLHama hapo kwa shemeji upunguze chuki , dada ako usiku anashindwa kutoa miguno vizuri akichezea ukuni
Huyo bayern mwenyewe hana furaha kukutana na Real Madrid.Nawachukia sana kenge nyie na kwa bayern hamtoboi
Kwa style hii lazima uichukie Madrid, UCLNawachukia sana kenge nyie na kwa bayern hamtoboi
Burudani tupu aisee.
Jude ni beast wewe huwez mwelewa , Ile mechi na city Madrid alienda completely defensively , na dogo alitaabika Sana...mwanzoni mwa Msimu alikuwa kama striker ila sa hv hayo majukumu kapunguziwa ..ndo mana hata kwenye magoli haonekani sanaNothing Personal, Ila Jamaa ni kilaza, na British Media inatumia nguvu nyingi kuaminisha jamaa ni Best Player wa timu kitu ambacho ni kituko, mbaya zaidi kuna wanojiita mashabiki wa Madrid wemeingia kwenye huo mtego