Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mkuu unaumia sana, Twambie anachofanya Jude uwanjani anachowashinda au kuwazidi wenziwe ni nini? Jamaa ndio mchozaji dhaifu zaidi uwanajni huo unabaki kuwa ndio ukweli

Hapo badae tupo na vijana wa Xavi sasa
inabidi tushinde ubigwa wa la liga utangazwe mapema
 
kinapigwa Usiku wa leo Kati ya Real Madrid anaeongoza ligi akiwa na points 78, anakutana na FC Barcelona wa pili kwenye msimamo akiwa na points 70,

Ni msimu 2023-24 wa La Liga,
Match ikiwa ya round ya 32,

Barcelona wanaweza kuwakosa Gavi, na Alejandro Balde,
Real Madrid nao pia watawakosa Thibaut Courtois na David Alaba,

Mechi inapigwa leo April 21, 2024, Saa 4 kamili Usiku Kwa Saa za Africa mashariki,
uwanja ni Estadio Santiago Bernabéu, Madrid Spain

Mwamuzi wa Kati atasimama César Soto Grado,

Kwenye VAR Huko wataongozwa na msimamizi José María Sánchez Martínez.


"Kama kawaida Tunataka points 3 na tunataka Vibes kwahyo Uwanja kufunika mi uhakika.

IMG-20240421-WA0021%20(1).jpg
 
Xavi anaweza kuja na 4-2-3-1, golini akianza na Ter Stegen; Kounde, Araujo, Cubarsí, Cancelo; Christensen, De Jong; Yamal, Gündogan, Raphinha; Lewandowski

Huku Carlo Ancelotti yeye anaweza kuja na (4-4-2): golini Lunin; kisha Carvajal, Rüdiger, Nacho, Mendy; Valverde, Tchouaméni, Kroos, Bellingham; Rodrygo, Vinícius,

Kutokana na Ratiba ngumu ambayo Real Madrid yupo nayo na Barcelona kutaka kutumia mechi Hii kurudisha Imani Kwa mashabiki wao baada ya kufukuzwa na PSG kwenye Uefa champions, sasa watakua kwenye harakati za kufufua matumaini ya mbio za ubingwa,

Hivyo basi najaribu kujilazimisha kuamini kuwa Barca wanaweza kukaza kwenye mechi Hii wakapata ushindi usiotarajiwa,

Lakini Nakumbuka kwamba Hii ni Real Madrid na msimu huu La liga tunaitaka na UCL tunaitaka
kuhusu Madrid kupoteza sioni hiyo miujiza ikitokea.
 
Back
Top Bottom