Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Kwa upande mwingine wa kumwaga majalo ni noma na ndo uzuri wake ulipo sio kwenye kukaba tuMkuu achautani, Trent ni mua, tena ni uchochoro kabisa. HUyo Hafai.
Kwa upande mwingine wa kumwaga majalo ni noma na ndo uzuri wake ulipo sio kwenye kukaba tuMkuu achautani, Trent ni mua, tena ni uchochoro kabisa. HUyo Hafai.
Kwa upande mwingine wa kumwaga majalo ni noma na ndo uzuri wake ulipo sio kwenye kukaba tu
Ameniumbua huyuAsante Lunin, nsamehe Sana nilikusema vibaya mechi iliyopita sasa sikudai.View attachment 2966893
Una personal issue na Jude?huyo jamaa ni bure kabisa, toka dakika ya 55 alishajaa upepo na bado akamaliza 120. Na Vyombo vya habari vya kiingereza ndio leo vinatambia na picha zake eti Baloon D'or favorite PUMBAV kabisa
Una personal issue na Jude?
Valvede niliona anazunguka sana kati na upande wa kulia juu kule ila Belli alikuwa hadi anakuja beki uku mara yupo juu mara upande wa Vin kila mahali
Jude Bellingham jana alikimbia kilomita 15 dhidi ya Manchester City pale Etihad,1 day before don CALRO alisema anakwenda kumaliza game kwa technique aliyoitumia mwaka 2014 kama alivyomtumia SAMI KEDHIRA.
Hopefully VALVERDE ambaye jana kapewa man of the match na BELLIGHAM walibeba hilo jukumu.
Mmtake radhi bellingham wazee ile game jama cityzens walikuwa OFFENSIVE sisi tulikuwa DEFENSIVE
yeah kiuhalisia city wanamuogopa rodryo zaidi ya vinnyCarlo Mechi aliichelewesha Kwa kumuacha JUDE akizunguka uwanjani bila ya shuhuli yamana alokuwa anafanya, yeye na Vini walitakiwa kuwahi kutolewa mapema sana na hakukua na haja kumtoa rodrygo mapema. Ilisababisha timu izidi kuelemewa.
asa we ulitaka Belligam atoke wakati timu jana ilikua more definsive kuliko Attack hujamuona jana wakati anasaidiahuyo jamaa ni bure kabisa, toka dakika ya 55 alishajaa upepo na bado akamaliza 120. Na Vyombo vya habari vya kiingereza ndio leo vinatambia na picha zake eti Baloon D'or favorite PUMBAV kabisa
Risiti hii bado ni valid au tayari ni expired Ndugu?FC Barcelona ndio bingwa wa UEFA champions League mwaka huu 2024.
Tunza hii risiti mtani.
![]()
asa we ulitaka Belligam atoke wakati timu jana ilikua more definsive kuliko Attack hujamuona jana wakati anasaidia
kukaba city kweny kiungo wa Chini kuna mda walikua wanacheza Rodri na Akanji Rodri akipanda Akanji anaenda kuziba Nafasi na Bado dogo alipigana sana kukaba na kuna mda alikua anakuja kumsaidia Mendy upande wa kushoto kukaba pia unasahu kama kweny Goli la Rodyrgo kahusika ku link shambulizi kwa kazi waliofanya Vijana jana afu kuna mpuzi kama wew unakuja unakosoa wachezaji huoni umuhimu wa alichofanya kijana bila shaka una matatizo kichwani
Kweli Arse8 umevurugwa kabisa, hatimaye ushakuwa fungu la kukosa maana leo hii 18/04/2024 hakuna Arse8 wala Mwacity ndani ya UEFA champions leagueManchester City hawezi kufungwa na Real Madrid abadani save my message

we kashamba nimekwambia ka link shambulizi la Goli mbona unajifanya kajuaji sanaeti kahusika kwenye goli, sasa ndio nini
Mshamba we we na Carlo Nani anajua mpira zaidi ukipewa ata timu ya Chekechea ufundishe utaweza unakaujuaji mwingi sana we kajamaaCarlo Mechi aliichelewesha Kwa kumuacha JUDE akizunguka uwanjani bila ya shuhuli yamana alokuwa anafanya, yeye na Vini walitakiwa kuwahi kutolewa mapema sana na hakukua na haja kumtoa rodrygo mapema. Ilisababisha timu izidi kuelemewa.
Yani jamaa anatukumbusha tabia za mswahili halisi, unoko.Mshamba we we na Carlo Nani anajua mpira zaidi ukipewa ata timu ya Chekecheka ufundishe utaweza unakaujuaji mwingi sana we kajamaa
Sjui uyo Belligam unayemchukia alimlala dada ako had unakua na Chuki naye kiasi hicho
Tumeshaisave mkuu, tunasubiri maelekezo.Manchester City hawezi kufungwa na Real Madrid abadani save my message
Nawashangaa watu sijui wanaangaliaje mpira... Jana Jude kapiga sana kaziJude Bellingham jana alikimbia kilomita 15 dhidi ya Manchester City pale Etihad,
Pia alipiga chenga 100% zilizokamilika na usahihi wa pasi 94%, yaani alipiga pasi 31 zilizokamilika, alipokonya mipira mara 10 alishinda mipira ya juu mara 3.
Kiwango chake cha kazi uwanjani ni cha ajabu.
Alijitahidi.
kanafaki sana aka katakua ni kashabiki ka City kwahyo kamekuja na mgongo wa kumkosoa Belligam apa kanazani tutakachekeaYani jamaa anatukumbusha tabia za mswahili halisi, unoko.